Super Sub Steve
JF-Expert Member
- Jul 9, 2011
- 17,404
- 10,900
Huyo ameendekeza starehe hata kwenye D League hayupo tena. Ametusikitisha nafasi aliyopata kaichezea. Wenzie wako mbali.
Je, serikali inatambua kazi za hawa ndugu zetu au kuna kitu wanapata/wanatoa katika kazi za hawa ndugu zetu!!?