Steven Muro ateuliwa kukaimu nafasi ya Meneja GPSA Tabora. Baada alikuwepo kutoa lugha ya matusi kwa wateja

Steven Muro ateuliwa kukaimu nafasi ya Meneja GPSA Tabora. Baada alikuwepo kutoa lugha ya matusi kwa wateja

Mkalukungone mwamba

JF-Expert Member
Joined
Aug 29, 2022
Posts
862
Reaction score
1,755
kiwa ni siku nne zimepita mara baada ya Mkuu wa Mkoa wa Tabora Paul Chacha kuagiza kuondolewa kwa Meneja wa Wakala wa Huduma ya Ununuzi Serikalini (GPSA) mkoa wa Tabora, Mayala Mburi kwa tuhuma za kutoa lugha za matusi kwa Mkuu wa Mkoa na watumishi kutoka Ofisi ya Waziri Mkuu ambao walikwenda kwenye kituo hicho kupata huduma ya mafuta, Ofisi ya GPSA Makao Makuu imemteua Steven Muro kukaimu nafasi hiyo.

Soma Pia: Tabora: RC Paulo Chacha amsimamisha kazi Meneja GPSA kwa kutukana wateja

RC Paulo Chacha wakati akizungumza na Kaimu Meneja wa GPSA alipofika ofisini kwake kuripoti tayari kuanza majukumu yake amemtaka Meneja huyo kufanya kazi kwa weledi pamoja na kushirikriana na watumishi wengine kituoni hapo katika kuwahudumia wateja.
 
Hivi ni katukana
A.wateja ?
B. Wafanyakazi walio chini yake ?
C. Wageni wa kuandaa tukio la kiserikali
D. mkuu wa mkoa?
E. All of the above
F. A-E

Kama jibu ni E au F bhasi kuna shido mahali.
 
Back
Top Bottom