Angalia asikusikie maana anapiga ngumi balaaHana kazi ya kufanya zaidi ya siasa.
Hahhahahhaah wassira fashion
Mama naye kafunga kifungo vibaya
Amezeeka sana.Angalia asikusikie maana anapiga ngumi balaa
Wtz wajinga sana ....wanadhani ukiwa babu huna haki ya kudai hakiBut ni haki ya ya kikatiba, mwacheni aitumie.
ana fikiri ni lazima afie katika siasaHuyu mzee naye akubali tu Kuwa ameshindwa. Kwani lazima awe kiongozi wa uma??!