Sticker za week ya nenda kwa usalama

Sticker za week ya nenda kwa usalama

PureView zeiss

JF-Expert Member
Joined
Sep 5, 2016
Posts
10,786
Reaction score
35,916
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo juu kumekuwa na shida na usumbufu humu barabarani kuhusu hizi stika za usalama barabarani,nilikuwa naomba kujua mwisho wa kukata hizi stika ni lini?

Sina uhakika na taarifa niliyoipata kuwa kuanzia tarehe 1/3/2018 yaani siku 4 zijazo itakuwa mwisho na kama hauna stika basi ni kuchezea vyeti vya faini mwanzo mwisho

Ninaomba mwenye taarifa sahihi utusaidie ili tusichezee makofi ya traffic
 
Hizo sticker awamu hii hazieleweki kabisa...

Walianza kutoa za magari makubwa...

Wakafuata za magari ya abiria...

Magari madogo wakawa wanarusha rusha siku ya kuzitoa...

Mpaka leo kimya... Kila ukifuatilia unaambiwa bado hazijaanza kuruhusiwa kutolewa za magari madogo mpaka leo kimya....


Cc: mahondaw
 
Magari madogo wakawa wanarusha rusha siku ya kuzitoa...

Mpaka leo kimya... Kila ukifuatilia unaambiwa bado hazijaanza kuruhusiwa kutolewa za magari madogo mpaka leo kimya....
Ni kweli, bado wahusika hawajasema lolote hadi sasa kuhusu magari madogo.
 
zinasaidia nini hizo stika? too bad unakua nazo and still ukisimamishwa wanaanza kukukagua tena...hii nchi hii
 
Back
Top Bottom