acha kuwaonea wazungu! hata huo mradi mnao taka kufanya kuanzia technolojia,maarifa,mitambo mpaka uendeshaji kwa 98% unawategemea hao wazungu,insu kubwa hapa ni kwa nini serikali ya CCM inharibu fedha nyingi kwa miradi ambayo haina vichwa wala miguu.
Well saidMTU mweupe hana jema kabisa kuhusu Africa,
Sudani wameigawanya Mara mbili,cameron,IPO vipande viwili wanaozungumza kifaransa(Franco phone)na wanaozungumza English(Anglo phone),Libya wameivuruga kabisa,walitaka hata Syria ifate mkondo ule ule,shukrani kwa Warusi,wakazuhia hii,richa ya kwamba na wao ni majizi tu,
Ukitaka Wa magharibi wakuelewe inabidi uwe na akili kama za North Korea,Vietnam,ukijipendekeza kwao wanakuaribu kabisa,hawajari kabisa,hata wazungu wwnzao wa Greece,wanawaperekesha na masharti kibao ya kuinua uchumi,
Nikiona mzungu anaona uchungu kwa jambo linalofanyika Africa,hayo huwa ni machozi ya mamba tu,na unafiki mtupu,kama wanatuonea huruma,walete viwanda vyao huku vya magari,vya umeme,na tekinolojia watupe bile,
Hawa wazungu tukiendelea kuwachekea tutajikuta Tanzania yote imewekwa kwenye urithi wa dunia nakutufanya tusiweze kujenga hata hivyo viwanda tunavyokusudia kwa sababu tutakuwa tunaharibu flora and fauna ya urithi wa dunia!
Hizo game reserves and parks tuliwekewa na wazungu hao zaidi ya miaka 50 iliyopita. Wakati huo Tanzania ikikuwa na watu wasiozidi millioni 10 na ng'ombe zisizozidi million moja. Watu na mifugo yao wakatengewa asilimia 20% ya eneo la ardhi ya Tanzania. Asilimia 80% iliyobaki ikatengwa kwa ajili ya wanyamapori, fauna na flora kama hifadhi ya taifa na urithi wa dunia. Sasa hivi watanzania wako million 55 na mifugo yao ni takribani million 30. Hilo eneo la 20% haliwatoshi tena na ni busara likaongezwa kwa kupunguza hiyo hifadhi. Wabunge walilalamikia hatua kali za kisheria zinazochukuliwa dhidi ya mifugo inayokanyaga ardhi ya hifadhi. Cha kushangaza hiyo adhabu kali ilitungwa na bunge hilo hilo linaloilalamikia hiyo adhabu. Linachotakiwankufanya ni kutatua chanzo cha tatizo (hiyo 20:80 distribution)!
hahaha..hapo kwa mrusi nimecheka..."" lakini afadhali ya mrusi ni zimwi likujualo ""...MTU mweupe hana jema kabisa kuhusu Africa,
Sudani wameigawanya Mara mbili,cameron,IPO vipande viwili wanaozungumza kifaransa(Franco phone)na wanaozungumza English(Anglo phone),Libya wameivuruga kabisa,walitaka hata Syria ifate mkondo ule ule,shukrani kwa Warusi,wakazuhia hii,richa ya kwamba na wao ni majizi tu,
Ukitaka Wa magharibi wakuelewe inabidi uwe na akili kama za North Korea,Vietnam,ukijipendekeza kwao wanakuaribu kabisa,hawajari kabisa,hata wazungu wwnzao wa Greece,wanawaperekesha na masharti kibao ya kuinua uchumi,
Nikiona mzungu anaona uchungu kwa jambo linalofanyika Africa,hayo huwa ni machozi ya mamba tu,na unafiki mtupu,kama wanatuonea huruma,walete viwanda vyao huku vya magari,vya umeme,na tekinolojia watupe bile,
Wamejitoa baada ya kuona hauna uwiano wowote ni unafiki tu China na India hawafanyijitihada zozote za maana kupunguza uchafuzi wa mazingira wakati wao ndio vinara Trump ujinga huo hafanyi ndio maana aliwapa makavu kwamba Marekani haitafanya kama wengine ndio wanatumia mwanya huo kuongeza viwanda ili kuinua chumi zao.wazungu bana!
Mbona wamarekani wamejitoa kwenye mkataba wa udhibiti uchafuzi wa mazingira,ili waendelee kuharibu dunia kwa maslahi ya marekani hawafuatiliwi tunafuatiliwa watanzania
Unafahamu ukubwa wa selous? sehemu inayoharibiwa kama unavyoiita ina ukubwa wa 1,200 km za mraba na selous inaukubwa wa 54,000 km za mraba hiyo ni sawa na 2.19% ya mbuga nzima. Ni kama hukufanyakitu chochote. Wazungu wamemaliza misitu yao yote na kula wanyama wote na bado wanamaisha mazuri kuliko ya kwetu, sisi tuna maliasili zote hizi misitu na wanyima tunashida za kufa mtu. Usitegemee mzungu atafurahi wewe kupiga hatua za kimaendeleo hata siku mojaMiti ya selous itakatwa ukubwa wa mkoa wa dar.!?
wazungu bana!
Mbona wamarekani wamejitoa kwenye mkataba wa udhibiti uchafuzi wa mazingira,ili waendelee kuharibu dunia kwa maslahi ya marekani hawafuatiliwi tunafuatiliwa watanzania
Huu mradi unaogopwa sana kwa sababu utatuondoa kabisa katika matatizo ya umeme walau kwa miaka 50 ijayo
Stieglers tumekurupuka?Sidhani kama kuna mtanzania anapinga tu maendeleo bila kuwa na sababu.
Binafsi napenda tuwe na umeme wa kutosha na ziada iwepo hata tuuze nje.
Tatizo tunakurupuka mno bila kufuata taratibu zilizowekwa za kuheshimu sheria tulizo nazo za uhifadhi na mazingira.
Pia, huwa watanzania ni rahisi sana kudanganywa na kudanganyika haraka, HIVI mradi wa gesi kauli mbiu ya "TATIZO LA UMEME LITAKUWA HISTORIA" ni nini kimetokea hadi sasa? kumbukeni kuwa Watu walipoteza maisha.
Mara nyingi hii miradi mikubwa ni uchochoro wa kuvuna pesa kwa maslahi ya watu wachache...LA SIVYO kwa sababu ni miradi mikubwa basi ipelekwe kujadiliwa bungeni bunge likiridhia basi uwakilishi wa wananchi utakuwa umeheshimiwa.
Stieglers tumekurupuka?
Yaani unataka mifugo ipunguzwe? Akili ya wapi hiyo. Hujui mifugo ndiyo uchumi wa nchi na kipato cha wananchi walio wengi? Mbona husemi na wewe kipato chako kipunguzwe? Mifugo inapaswa iongezeke na iwe bora zaidi. Maeneo ya kuchungia yanapaswa yaongezwe na kupunguza hayo maeneo ya mbuga za nyumbu!Usichokisema ni kuwa MACCM hayahaya yanayo sema Selou ni sawasawa kupunguzwa, inapokuja Mifugo wanasema hapana. hivi huoni ni kituko hawa watu.
Mkuu Nakuunga Mkono hoja Kaka,ikiwezekana Mwambie Dr.Magufuli kwa hili tunamuunga Mkono sana sana,tumechoka kupigwa Bure eti 200m,400m za bure tuu Tanesco analipa,eti Mazingira,Magufuli angekuwa Ananisikiliza ningemwambia Tena Afanye Haraka kutuletea Umeme,ujenzi Uanze haraka sana usiku na Mchana.eti miti,Mbona Shinyanga,Tabora hawasemi wakapande miti huko!Mradi wa sglas Goerge utatuepusha na wezi wanaoinyonya Tanesco 400m na 200 m kila sku...i.e IPTL..SYMBION and Co ambao ndio wanatumia nguvu kubwa kuwalipa wanasiasa na member wengne huku ili kuupga vta hu mradi...USA mwenyewe hayo mambo ya kijinga ya mazngra alishajtoa...na Ata Ethiopia mradi wao mkubwa wa bwawa la umeme walitumia ela zao za ndan baada ha wazungu ambao ndio wenye haya makampun ya kuuza umeme kwa bei kubwa kuwachongea kwa nchi zao na mashrka makubwa wakanymwa pesa...katika eneo ambalo namuunga mkono JPM kwa 100% ni kwenye mradi huu wa stglas Gorge mradi alianzsha Nyerere ila kuanzia awamu ya pili walioingia wizara ya Nishati wakaleta IPTL wakauzka huu mrad kwa vsngzio vya kijinga na wakaanza kuinyonya Tanesco toka 1990's adi leo...nchi hii ina mapori mengi icho kieneo kinachoguswa selous ata akikarbii robo ya selous (Hiyo World heritage ilishasaidiaga nini mwananchi wa kawaida zaidi ya ukolon mamno leo)na wengi wanaopga kelele ata selous hawaijui..wakiwemo wanasiasa na wanaoshnda huku kupnga mradi..ila wanamezeshwa madessa fake na makampuni yanayouzia Tanesco umeme wa mafuta mazito kama SYMBION...IPTL ..n co ambao wanajua stiglas gorge ndio mwsho wa unyonyaji wao...mtu analipwa 400m kwa kuweka jenereta Tegeta na ubungo ata kama ajazalisha umeme huo ni upuuzi