Still unbeaten

Still unbeaten

mzee wa bwaksi

JF-Expert Member
Joined
Dec 1, 2021
Posts
2,255
Reaction score
3,972
Leo ni game ya 40 kweny ligi ya NBC timu ya Wananchi hawajaonja kichapo cha kupoteza mechi.

Japo najua huko mbeleni watafungwa tu ila paka kufika hapa wanastahili pongezi. Bravoo Wananchi[emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]
 
Vipi Kwa wasiojua MATOKEO?????

Muwe mnajifunza kuandika taarifa iliyonyooka.
 
Kama unajua timu yako imepoteza mchezo ndani ya mechi tano za ligi zilizopita pita kimya kimya hapa
 
Unbeaten wa mchongo. Mechi ya Leo, dhidi ya Namungo, dhidi ya ruvu zote mlistahili vipigo uto ila marefa wa michongo waliwaokoa.
 
Kwa Mbeleko la Chuma Kila Kitu Mchongo.....mbona Uto Itafikisha Mechi MIA Kidogo unbeaten maandazi.

Dube ndani 18 Tuta Kbs Refa Kapeta...Morisoni anamsimulate mwamuzi badala Ya Kula yellow Refa anaweka tuta..
Unbeaten Ya Kulazimisha
 
Hongera kwa Yanga.. Makolo endeleeni kuumia, ndo maana mna surah mbaya
 
Kawanyima penat ya halali Azam katoa penati ya mchongo kwa Yanga

Halafu hiyo krosi ndio imefanya yanga wakapata bao la kwanza
Angalia Tena replay youtube kisha urudi tena kukomenti kuhusu uhalali wa penati ya Morison,
kuhusu unayosema ya Azam nadhani Ile ni clear dive hata picha za marejeo zinaonesha ilo, pia hata kama utamuhukumu Mwamnyeto bado haiwezi kuwa penati Kwa maana tukio ni nje box mchezaji kaenda kuangukia ndan ya box. kosa pekee ambalo ni la mshika kibendera ni kuruhusu krosi ya Lomalisa Kwa mpira ulikuwa ushatoka nje..
Ila pia nadhani kipindi cha kwanza tu Kiungo mkabaji wa Azam Sospeter Bajana alistahili red kadi ambayo ingewapa faida Yanga kuwabutua Azam mapema kabisa na haya malalamiko yasingekuwepo
 
Hatari sana[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Nchi ngumu sana hii
Screenshot_20220906-223525.jpg
 
Angalia Tena replay youtube kisha urudi tena kukomenti kuhusu uhalali wa penati ya Morison,
kuhusu unayosema ya Azam nadhani Ile ni clear dive hata picha za marejeo zinaonesha ilo, pia hata kama utamuhukumu Mwamnyeto bado haiwezi kuwa penati Kwa maana tukio ni nje box mchezaji kaenda kuangukia ndan ya box. kosa pekee ambalo ni la mshika kibendera ni kuruhusu krosi ya Lomalisa Kwa mpira ulikuwa ushatoka nje..
Ila pia nadhani kipindi cha kwanza tu Kiungo mkabaji wa Azam Sospeter Bajana alistahili red kadi ambayo ingewapa faida Yanga kuwabutua Azam mapema kabisa na haya malalamiko yasingekuwepo
kuwa walau na AIBU kidogo
 
Unbeaten ya marefa. Na haitatokea Yanga ifungwe. Miaka kumi ijayo sababu ya marefariiizzz
 
Back
Top Bottom