Stop dating mentally broke girls

Ndo nakuambia ukweli. Ni sahihi kabisa. Tunaongelea yale mapenzi ya ndani ndnai kabisa. Nikikuomba jua i wanna push u away maana unanikera. Kuna ID humu nahisi ni kijana nilikua namwombaga hela makusudi miaka hiyo hata hanielewi. Sad enough he keeps coming[emoji31][emoji31] sema simuombagi tena kumfukuza maana nilishamfukuza[emoji23][emoji23][emoji23] najua ni yeye tu
 
[emoji23][emoji23][emoji23] wewe unaelewa nachokisema. Jamaa zako wanachotaka ni kutotoa chochote aisee... and thats how a couple should be. Jamaa zako wao hawatki kbs mfuko uguswe
 
Hata tukisema wanawake ombaomba wote waache kutoa mbususu na wahamie kwenye dildos,bando watakaoumia ni haohao maana najua hawawezi pata nguvu ya kujisukumia dildo bila kula,na kula yao ni uombaomba wao.
Sasa, km unajua hilo why unapiga kelele? [emoji23][emoji23]
 
Mwanamke kuomba hela hovyo kuna connection na kukosa adabu! Kukosa adabu kuna connection na kukosa hisia sababu wengi wanajua kwamba wanachofanya ni foul ila they do it sababu hawawapendi hao wanaume!
Kuomba hela hovyo ndio kupoje? Hebu tuanzie hapo kwani.
 
Kwahiyo kutunza maan yake nn? [emoji23][emoji23][emoji23] usinichekeshe hapa.
Taking care of someone doesn't mean financial handing out.kuna mstari kwenye kitabu imeandikwa tuwape hela hivi? Au mnakitabu chenu [emoji23]
 
Nimetoka kumuacha janamke moja hivi mwezi uliopita 90percent ni Mimi yeye ni 10percent tu nikamuacha aende zake. Mtu unaishi nae utazani gogo ata ushauri hakupi wa nini sasa
 
Don’t expect me to treat you right if you ain’t acting right!
 
Natamani nimtag mtu kwenye Uzi huu ila naogopa nisije kosa hata hicho kidog nnachopata
 
Miss Pablo and Pablo usually said everyone has a price, the important thing is to find out what it is!
 
Nashukuru Mungu huwa na notice madem wa namna hii natoka mwenyewe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…