Nakubaliana na weweIla me naonaga mwanamke anayekuomba sana hela ni hakupendi. Mwanamke anayekupenda wallah hela yako anakuhurumia mno. Anakua kama mzazi wako akiona unamisuse hela. Thats how it goes buddie[emoji4]
Basi naomba uwe madoda wangu na mimi niwe magige wako[emoji23][emoji23][emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] Ohh its a married man what a bad lucky
Yes... ndo ilivyo...Nakubaliana na wewe
[emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] Madoda ni nini nimechekaBasi naomba uwe madoda wangu na mimi niwe magige wako[emoji23][emoji23]
Yule mume wa aziza aliyefariki arusha halaf makahaba wanagombania kuweka mashada kaburini ila mke akatupa shada la mbunge cathe magige mbali[emoji23][emoji23][emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] Madoda ni nini nimecheka
Najua kuonga kweli kweli tatizo mnakuwa omba omba sana once umekula micro oven shida zinaletwa utafikiri umeua wazazi wa huyo demu yani kila kitu anakutegemea wewe.Gaddamit...!!"Toa hela wee acha kulalama.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] poleeehNajua kuonga kweli kweli tatizo mnakuwa omba omba sana once umekula micro oven shida zinaletwa utafikiri umeua wazazi wa huyo demu yani kila kitu anakutegemea wewe.Gaddamit...!!"
Sent from my 601SO using JamiiForums mobile app
Mwamba hii kitu ya omo umemwaga hapa si mchezo. Relax man! ladies are flowers acha tuwahudumie. They were born to be taken care of. Ni fahari kwa mwanaume kumuhudumia mpenzi wake jombi na ndio inakupa confidence ya kiuanaume.
Baad ya kuwa manipulate vya kutosha...Wakishaa turn mentally broke ndiyo wwankuja kupambana na mleta mada sasa..Now i'm into innocent girls cause they are easy to manipulate😁😁
Tuna provide kwa wake zetu na familia ..Pole sana, unapingana na nature, ushawahi kuona mnyama wa kiume anabaki na watoto, afu jike ndio linaenda kutafuta chakula? Waume hilo ni jukumu lenu ku provide.... msikimbie 🤣🤣🤣🤣
Hahahahaha!!!it is what it is comrade...Bonge la uzi maana kuna madem ni kama viwavi jeshi maniner, yaan akiona sim na njaa inauma