Stop dating mentally broke girls

Stop dating mentally broke girls

Taking care of someone doesn't mean financial handing out.kuna mstari kwenye kitabu imeandikwa tuwape hela hivi? Au mnakitabu chenu [emoji23]
Toa hela wee acha porojo zako hapa.
 
Issue sio kutoa matumizi lakini are they mentally stable ata kujiongeza!!?

Sent from my 601SO using JamiiForums mobile app

Mimi nadhani ndege wafananao uruka pamoja. Ukiona mwanaume ka date hao unaosema ni mentally broke girls nae jua yuko vile vile.

Kwani yeye haoni kwamba sio type yake?

Nahisi huu uzi umewalenga wanafunzi coz sidhani mwanamke ana kazi anaomba vitu vidogo kama vocha au nauli.

Yes nauli ya ndege naomba.😂😂lakini mbona wanaume siku hizi ni waelewa nauli wanatoa hata kabla hatujawaomba.

Mtu unajua mfano nakufata dar, na nimekwambia sipandi basi sasa unategemea nini?

Mimi nadhani kila mtu ale kutokana na urefu wa kamba yake.

Kazi ya mwanaume ni kuhudumia.

Note: mwanamke plz usimuombe mwanaume pesa. Wewe tengeneza mazingira akupe mwenyewe.
 
I know many girls and ladies gonna be angry with this post but try learn from it. Guys, how do some of you even cope with dating a broke girl? I know some still don't understand what I mean by Broke Girls.

(1). A girl who doesn't have transport fare to see someone who she claims she loves every damn time.

(2). A lady who can't get you a birthday or a Valentine's day gift, but expects you to bring down the world for her during hers.

(3). Someone who can't comfortably call you on phone for 5mins. Always flashing and complaining she doesn't have airtime even when you know you just sent her airtime.

(4a.) I mean how do you guys cope dating a lady who thinks relationship is an occupation; where she is supposed to be paid and taken care of?

(4b). Even if it's an occupation, what services is she actually offering to be privileged to receive such benefits?

(4c.) Or is she a ghost worker? ( NB: sex is not a benefit ONLY to men ) How do some guys manage to date such ladies?

(5). No wonder suicide and depression victims are mostly men.

(6). See guy, don't ever date a broke girl no matter how gorgeous you think she is. They are serious liabilities

(.7.) Rather date a lady who adds something beneficial to your life. Things like emotional intelligence; financial intelligence; spiritual intelligence and other intelligence

(8). Date someone who's capable of calming the storm within your soul ( an average man has enough storms ); and not someone who adds stress to your life.

(9). Forget that yehn yehn talk, don't tolerate any woman's brokenness or stupidity just because of her physical beauty.

(10). There are actually a lot of extremely gorgeous and beautiful ladies with common sense.

(11). So don't ever think of settling for less brother. One thing I've realized about all these broke girls is not that they don't actually have money...

(12). Most of them do; but it's just that they're mentally broke, which is way worse than not having money.I know many girls and such liabilities ladies gonna be angry with this message, they won't be happy, But Ladies please don't blame me for your stupidity..

AN HUNGRY MAN IS AN ANGRY MAN.
HAPPY SUNDAY... [emoji23]
From what i know kwa mwanaume usipokua na hela ndiyo utaanza kuchungulia hela ya mwanamke sijui asaidie hichi na kile noo grow up dude, kuwaza hivi ni kwamba hupendi kuombwa hela na ni nadra sana kuona mwanaume mwenye hela kumsimanga mwanamke asie na hela, kulalamikia vitu kama hivi ni kama game limekushinda, ukishindwa kuhudumia acha kutafuta sio lazima kila mtu awe na mwanamke,

hate the game not the player
 
From what i know kwa mwanaume usipokua na hela ndiyo utaanza kuchungulia hela ya mwanamke sijui asaidie hichi na kile noo grow up dude, kuwaza hivi ni kwamba hupendi kuombwa hela na ni nadra sana kuona mwanaume mwenye hela kumsimanga mwanamke asie na hela, kulalamikia vitu kama hivi ni kama game limekushinda, ukishindwa kuhudumia acha kutafuta sio lazima kila mtu awe na mwanamke,

hate the game not the player
Unatumia kinywaji gani?
 
Mwamba hii kitu ya omo umemwaga hapa si mchezo. Relax man! ladies are flowers acha tuwahudumie. They were born to be taken care of. Ni fahari kwa mwanaume kumuhudumia mpenzi wake jombi na ndio inakupa confidence ya kiuanaume.

Tafuta hela mdogo wangu uache kupingana na necha. Nguvu unazotumia kupingana na necha ungetumia kutafuta mpunga mkuu, necha hautaiweza nakuhakikishia.

Dah! aisee ila umeenda mbali sana mkuu, unalinganisha kuletewa valentine's gift na girl mkuu ndio na wewe umpe? Usifike huko kamanda please.
Kweli basi iwe 80/20 japo yaani awe na mchango hata wa mawazo siyo zero ziro na mawivu ya kijinga jinga tu !!!!!
 
From what i know kwa mwanaume usipokua na hela ndiyo utaanza kuchungulia hela ya mwanamke sijui asaidie hichi na kile noo grow up dude, kuwaza hivi ni kwamba hupendi kuombwa hela na ni nadra sana kuona mwanaume mwenye hela kumsimanga mwanamke asie na hela, kulalamikia vitu kama hivi ni kama game limekushinda, ukishindwa kuhudumia acha kutafuta sio lazima kila mtu awe na mwanamke,

hate the game not the player
Well said
 
From what i know kwa mwanaume usipokua na hela ndiyo utaanza kuchungulia hela ya mwanamke sijui asaidie hichi na kile noo grow up dude, kuwaza hivi ni kwamba hupendi kuombwa hela na ni nadra sana kuona mwanaume mwenye hela kumsimanga mwanamke asie na hela, kulalamikia vitu kama hivi ni kama game limekushinda, ukishindwa kuhudumia acha kutafuta sio lazima kila mtu awe na mwanamke,

hate the game not the player
Please, lets keep in touch. You are my dream hubby..

I love u too[emoji7][emoji3059][emoji3059]

[emoji23][emoji23][emoji2222][emoji2222]
 
Please, lets keep in touch. You are my dream hubby..

I love u too[emoji7][emoji3059][emoji3059]

[emoji23][emoji23][emoji2222][emoji2222]
[emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] Ohh! a married man what a bad lucky
 
Back
Top Bottom