Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Are setup simole NAS server is enough, as database iki exoand, in this caee whith documents,photos and videos anaweza include SANSHuo ushauri sio mzuri kwa kifupi, SAN ni concept, ni network maalumu ambayo kazi yake ni kudeal na storage na inaweza kuzipa mashine mbalimbali storage ambayo itaonekana kama disk kwa upande wa mashine ila inaweza ikawa ni device ambayo ipo sehemu tofauti kabisa kwenye network. Sana sana utajkuta kwenye makampuni ambayo yana uhitaji mkubwa wa storage ya kudumu.
Sijawahi kusikia kuwa solution ya kuwa na DB kubwa ni SAN, DB ambayo ina traffic ya ukweli inahitaji disk ya kutosha kuhifadhi data unazotaka, RAM ya kutosha kufit DB nzima kwenye RAM na CPU ya kutosha kulingana na transactions unazofanya.
Kama unaogopa disk kufa unaweza kutumia RAID na kuwa na DB server zaidi ya moja ambapo data zinakuwa replicated kila wakati.
Are setup simole NAS server is enough, as database iki exoand, in this caee whith documents,photos and videos anaweza include SANSHuo ushauri sio mzuri kwa kifupi, SAN ni concept, ni network maalumu ambayo kazi yake ni kudeal na storage na inaweza kuzipa mashine mbalimbali storage ambayo itaonekana kama disk kwa upande wa mashine ila inaweza ikawa ni device ambayo ipo sehemu tofauti kabisa kwenye network. Sana sana utajkuta kwenye makampuni ambayo yana uhitaji mkubwa wa storage ya kudumu.
Sijawahi kusikia kuwa solution ya kuwa na DB kubwa ni SAN, DB ambayo ina traffic ya ukweli inahitaji disk ya kutosha kuhifadhi data unazotaka, RAM ya kutosha kufit DB nzima kwenye RAM na CPU ya kutosha kulingana na transactions unazofanya.
Kama unaogopa disk kufa unaweza kutumia RAID na kuwa na DB server zaidi ya moja ambapo data zinakuwa replicated kila wakati.
Ok! Shida ni kuongeza storage kwenye database ambayo ipo hosted kwenye mashine tu! 500GB ssd hivyo inahitajika kuongezwa ukubwa ndio wazo likaja hiloHuo ushauri sio mzuri kwa kifupi, SAN ni concept, ni network maalumu ambayo kazi yake ni kudeal na storage na inaweza kuzipa mashine mbalimbali storage ambayo itaonekana kama disk kwa upande wa mashine ila inaweza ikawa ni device ambayo ipo sehemu tofauti kabisa kwenye network. Sana sana utajkuta kwenye makampuni ambayo yana uhitaji mkubwa wa storage ya kudumu.
Sijawahi kusikia kuwa solution ya kuwa na DB kubwa ni SAN, DB ambayo ina traffic ya ukweli inahitaji disk ya kutosha kuhifadhi data unazotaka, RAM ya kutosha kufit DB nzima kwenye RAM na CPU ya kutosha kulingana na transactions unazofanya.
Kama unaogopa disk kufa unaweza kutumia RAID na kuwa na DB server zaidi ya moja ambapo data zinakuwa replicated kila wakati.