Lavit
JF-Expert Member
- May 16, 2011
- 14,834
- 32,522
Wakuu poleni na majukumu..
Nimeagiza gari (Subaru Impreza) na itaingia mwezi wa 11 mwanzoni, hapa majuzi nimepata dharula hivyo hela ya kutolea imepungua.
Nategemea kuweka mambo sawa miezi miwili au mitatu ijayo ndio niitoe.
Ninachotaka kujua, je gari ikikaa pale bandarini inachajiwa kiasi gani kwa mwezi? Je ni baada ya muda gani gari inaweza pigwa mnada? Naombeni majibu yenu ili nijue cha kufanya.
Natanguliza shukrani.
Nimeagiza gari (Subaru Impreza) na itaingia mwezi wa 11 mwanzoni, hapa majuzi nimepata dharula hivyo hela ya kutolea imepungua.
Nategemea kuweka mambo sawa miezi miwili au mitatu ijayo ndio niitoe.
Ninachotaka kujua, je gari ikikaa pale bandarini inachajiwa kiasi gani kwa mwezi? Je ni baada ya muda gani gari inaweza pigwa mnada? Naombeni majibu yenu ili nijue cha kufanya.
Natanguliza shukrani.