Stori: Jinsi ya Kumtongoza Mwanamke

B. JIBU




Money Penny: nikacheka sana, kweli bwashee sijaamini mambo uliomfanyia dada wa watu, inaelekea Vera Sidika ana roho nzuri sana, maana amekuvumilia haujui tu, unadhani ingekuwa Zari wa mondi ungemchezea makida kama ULIOFANYA kwa sidika? uuuuwi kweli SIDIKA shikamoo japo wewe ni mdogo wangu sana...

Shommy: sasa mambo gani haya tunachekana penny

Money Penny: ivi wewe naniliii.. kwanza hehehehehe aisee nikuulize vizuri lakini, hii habari unaniambia ni ya kweli au umetunga kichwani ili nikuone kaka wa mjini?

Shommy: ya kweli Penny, akaungua simu akanionyesha na picha walipigwa na waiter akiwa amekaa na Sidikaaa! nikaamini kweli buanaaa maana na mie ni Tomaso mzuri sana ujue

Money Penny: kwahiyo bwashee, wewe hapo baada ya kuachwa na kimwana ukafanyaje

Shommmy: niliondoka kurudi mezani kwangu na wale wenyeji wangu wakawa wananicheka, wananiambi huyu mtoto hautamweza anakula na wakubwa mjini ohooo nikawabishia sana kuwa yule ni hard worker wakaanza kunicheeeka wanasema ametumia njia nyingi za panya mpaka kufika hapo alipo... aliikuwa mweusi sasa ni mweupe kama mzungu unadhani matibabu yake dola ngap
wakanisema weewe lakini wapi nimekomaa na msimamo wangu wa kumpigia sidika...


basi usiku ule tukageuka hotel asbh yake nikaingia kikao kazi kazi na wewe ile namba sikumcheki Sidika mpaka nakuja zangu huku India kuuguza ndio juzi nime relax baada ya mgonjwa kupelekwa ICU nikaona nimcheki, kumcheki na namba ya India hakupokea, ingia whatsapp namwona kweli yupo online nikaamua kupotezea

Money Penny: kwahiyo ndio umeamua kukata tamaa sio?

Shommy: sijakata ila nataka nimfanyia mpango, bado namtaka na bado nampenda sana yule dada

Money Penny: kwahiyo shommy wewe una umri gani samahani

Shommy: nina miaka 40

Money Penny: haujaoa wala mtoto?

Shommy: ndio

Money Penny: hata zile ndoa zenu za kikazi haujawahi kuzipata ukafyatua totoz

Shommy: we mchaga unataka nini mbona maswali mengi kama polisi

Money Penny: nataka kukusaidia mtani acha ubishi, sema tukusaidie ujaribu tena bahati yako

Shommy: sina nipo single ila nikitaka kumalizia haja zangu najua pa kwenda, kuna kimwana mbagala ndio napumzikiaga pale ila najichoma kwanza sindano hatokaa apate mimba leo wala kesho maana wanawake wa kibongo wakishaona unavihela hela unaendesha ma Murano na ma Discovery 4 wanataka wajilengeshe kama ma celeb wa marekani

Money Penny: ohoo hapo ndio unakosea my bro... dah ila poa mimi ngoja nikusaidie kwa upande wangu ukiona ushauri haufai potezea... ila mimi ni mchaga so lipia ushauri basi

Shommy: wataka Tsh ngapi?

Money Penny: nataka mambo mawili

Shommy: mmmh, mchaga bwana haya sema wataka nini

Money Penny: wewe si unasema una hela, nataka connection ya nguvu sana, nina kioski changu mjini kinahusiana na kutengeneza tamthilia na kuandika hadithi

Shommy: ohoo kumbe nipo na reporter

Money Penny: tulia bwashee tatizo una haraka kama unaoga nje!... nataka connection itakayoniletea pesa nisaidie familia yangu si unajua sasa hivi vyuma haviachii!

Shommy: kwahiyo bado sijakuelewa

Money Penny: unipe connection ya kuuza tamthilia zangu na hadithi zangu! sio hizi za kitoto za mjini nataka international ones

Shommy: doh sasa kila kitu mnauza nje wazawa watafaidi wapi?

Money Penny: wewe mbona unataka kuoa Kenya na wazawa wapo?

Shommy: ahahahaha, mchaga ni mchaga tu, akili yako inawaza pesa tu, yule bwanako si anakulinda anakutunza shida nini? umeshindwa kumtumia shem mpaka unanifata mtu nyoko kama mimi? kweli penye miti hapana wajenzi

Money Penny: Bro nenda basi kwa Chris Mauki atakupa ushauri umlipe laki 5 kwanini umekuja kwangu

Shommy: yani wewe mtoto ungekuwa haujaolewa ningekuoa alafu nikuweke ndani nikuzalishe kama wapemba

Money Penny: hahahahahahaha ndio maana Sidika alikushinda! kumbe ndio unachotaka kumfanya dada wa watu ndio maana umeshindwa vita!

Shommy: dogo unanisaidia au niende zangu hospital?

Money Penny: tulia wewqe mgonjwa bado yupo ICU kaa hapa uongee na mimi

Shommy: poa nitakusaidia kuna watu walikuja juzi ofisini wanahayo mambo ya kuuza sura nitakucheki

Money Penny: na mimi nitakushauri ukisha ni connect

Shommy: doh yani ungekuwa mdogowangu ningekudunda!

Money Penny: nenda ICU basi kwani hapa unatafuta nini!

Shommy akatembea mbele kichwa chini, sipendagi ujinga na usanii wa ma snitch!





hatukuzungumza mpaka mgonjwa wake alipotoka ICU akakaa sawa hapo wiki 3 mbele mara naskia hodii Penny naomba ugali!

Money Penny: nenda TZ, kwani hapa tunauza ugali

Shommy: kwahiyo mtoto mzuri umenuna?

Money Penny: nina genye!

Shommy: njoo basi mtoto mzuri huku ananishika mkono, nikamkata jicho kama alilomkata Sidika,

Money Penny: unataka kufa au?

Shommy: kufa kila mtu atakufa kwani unadhani namwogopa mumeo

Money Penny: mlango upo wazi

Shommy: haya chukua basi business card hizi hapa

mONEY pENNY: kweli sijatunga, kuangalia kweli mchongo unavutiaaaa, mmmh kesho saa 7 mnchana uje uchukue Ugali ... mimi leo ninaenda kwa dokta nikitoka naenda kuzurura Malls!

Shommy: naomba nikusindikize

Money Penny: nina genye naenda kutafuta mdosi anisababishie! naskia wana dyu dyu ndefu kama remote ya SAMSUNG TV... huku nafunga mlango bye boo!

Kesho yake kweli kimwana shommy desperate kama bikra akatia timu anataka kusikia, mimi nishapiga simu Tz kuulizia kwa ma snitch wangu kuwa ile business card kama ni ya kweli au tantalila tu za Shommy!

Alipokuja akaja na business card nyingine mbili, hawa wa Africa Kusini hawa wa Dubai na hawa wa Uingereza na ile ya jana ni wa Marekani, ushindwe wewe na kioski chako utulipe kodi yetu tu sisi wazalendo tupate maendeleo Nchini kwetu

Money Penny: asante kwa ya jana ila hizi za leo mpaka niulize, sasa nisindikize mjini nitakusaidia naenda kufanya shopping na nataka honest opinion kwa mtoto wa kiume!

Tukadondoka mjini kwenye ma Malls, nampitisha njia ya panmya utadhani mimi mzawa wa kidosi (Mhindi)... ananiuliza maswali kibao wewe huku umekujuaje tena unatumia Uber, una bwana wa kihindi nini


Money Penny: nina hamu ya Ice Cream twende ukaninunulie niongee na wewe
Haki nilimtesa yule kaka kama mwanamke mwenye mimba! baada ya Ice Cream nataka Burger baada ya Burger nataka juice ya miwa... ndio nikamkalisha kumsaidia!


Money Penny: kwani wewe Mpare shule ya msingi mpaka unakuja kupata kazi ulisoma wapi? maana swaga zako zote za kayumbaa!

Shommy: umeona sasa unaleta dharau!

Money Penny: bro sipendi kupotezeana muda, utaongea hauongei?

Shommy: yani hapa nilipo nimeshasimamisha, jinsi gani navyokupenda!

Money Penny: changudoa wa khindi mtaa wa 3 unamlipa Rupees 2000 sawa na Tsh elfu 76. fanya uende!

Shommy: primary shule za kayumba, sekondari kayumba iliboru... chuo UDSM... master UK... kazi Dar

Money Penny: ndio maana hauna class ndani yako bado una mambo yale yale ya jomo kisomo mambo ya ushagooo ushamba ushamba haujakutosha na kukaa UK mwaka mmoja hakujakutakatisha! we mpare ovyo kabisa!

Shommy: Penny acha basi ujinga!

Money Penny: nchi ngapi umesafiri tangu uanze kazi mpaka leo hapa umekuja India?

Shommy: mmh nimesafiri nchi 55 mpaka leo, na hivi mlango umefungwa ndio baasi tena hamna kutokaa!

Money Penny: doh! sasa ngoja nikusaidie kakangu wa hiari!

" Mimi ningekuwa Shommy kama shommy na najua nina hela kama kweli unazo lakini usikute Hazina wanakulipa laki 3 sijui laki 6 sijui laki 8 mtajiju unahangaika kumbabaisha dada wa watu Kenya!

1. Mimi Shommy ningekuwa nahizo hela my dia, ningekutana na huyo Vera Sidika kwanza nisingemfuata, ningemzoom huyo Vera kw ambaaali alafu ningemwambia waiter ampelekee kinywaji kile kile anachokunywa alafu wewe unapoaaa unachiilll buzy kama unasoma simu au unamwangalia yani cool

2. ningezoom movement zake pale lazima angekuja mtu, mtu maarufu haendi mahali bure bure kama hakutani na mtu, ni ngumu sana mwanamke atoke nyumbani apake makeup apendeze alafu aende kukaa tu sehemu kwani yeye danga?! Kenya sio Mbagala!
ningejua nani anakuja kuonana nae kama ni manager ningemfuatilia manager
kama ni marafiki ningewanunulia wote vinywaji alafu watoto wa kike walivyo na kupenda sifa lazima mmoja wao angenyanyuka kuja kukushukuru hapo unateka akili ya mlengwaa!


ila kwa kesi ya Vera uwaga muda mwingi yupo na meneja we unacheza na meneja unajua movement zake unajipanga kumnasa

3. ukishamnasa ukaongea nae utajua vitu anavyopenda ikiwezekana mmkaribishe kwako ila usimlazimishe... akija kwako usimguse acha akuone upo tofauti mwenzio ameshazoea akiitwa na mwanaume na akili ya kila mwanamke ipo ivyo anajua anaenda kuikalia siku hio mpaka hela zote za dinner au lunch au shopping zirudiii

usimpeleke kwanza sijui shopping hapana sijui kumwambia unamali za bil 4 sijui 3 kwani amekuuliza? huo ni ushamba ndio maana kakushushua akaondokaaa.. mali Vera anazo sana,... anachotaka machine na mwanaume mwelewa!

4. mambo yakiiva mpeleke dinner... lunch sehemu za kistaarabu sio kila mtu anakuja hapo

5. Mengineyo utajua mwenyewe kwani mimi mwanaume me nina CHIU sio DYUDYU! utajiongeza

Hapo umejiaibisha umeonekana katuni usirudie tena kwa mwanamke yeyote duniani, hamna mwanamke duniani mwenye akili zake anaependa mwanaume limbukeni wa kujitangaza ana mali hizi na zile... hata mimi sikujua mume wangu anamiliki nini mpaka nimemaliza kuzaa watoto 3 ndio naambiw amama saa nikidondoka ujue kuna hiki na kile... miaka 5 ya ndo sijui kitu

Mwanaume ukliwa na siri kwanza tunasikia raha hata ukitupiga machine inapandaaa mpaka kifuanii! maana upo interesting, nataka kukujua leo na kesho unatia raha unasirika eee...

sasa wewe bwabwajaa! uone kama hawajajaa alafu wote wanakupigaaa ukishafilisika hauwaonii wanakuita huyu nae bwege tuu mshamba tuu alau mnaishia kulalamika oh Bongo mapenzi ni Ngono hamna wanawake wa kuoa

Huyo Vera mtengenezee mazingira kama utakubaliwa kwenda Kenya kajipange na waloe mabwashee akiingia kwenye 18 itumie vizuri,, nataaaaa... nataaa mpaka ashangae ingawa ulishaharibu sijui itakuwaje sasa labda ajifanye hakukumbuki maana ma staa bwana! hehe

Ndio ivyo mpare... mengine naanza kuchaji dola 200 darling maana ile bil 4 hali SIDIKA tu na wa nyumbani tupewe fungu la 10 basi kidogo tufurahie mali za kakae Penny

Akacheeeka anashangaa mtoto mdogo unajua wapi haya mambo

Money Penny: me mtoto wa Upanga, Oyesterbay, sijazaliwa leo mishen town zote nazijua Sidika ulimkosea sana kama hautampata na ukapata wa ma design yake uje unitafute maana wapo wengi hata Tz yetu wapo kibaoo basi tu na nyie kaka zetu mnavuka mipaka mnaiaibisha Nchi yenu ona sasa ataenda kukusema wanaume wa TZ mabogas kweli hata kutongoza hawajui.. shauri yakoooo

nikaondoka kwenda kupanda Uber mpare anawaza na kuwazua maneno niliomwambia

KUENDELEA NA UHONDO HUU BONYEZA HAPA JINSI YA KUMTONGOZA MWANAMKE... - .

 
Shommy... Uyo mtoto atamkosaa ..aache ujinga.

Atamkosa kwasababu hizi..

1/ --++++

2/Shommy didn't make her laugh 2-3 minutes in his first 10 minutes.

3/Shommy's Opening line was all about himself. ( nahapa wanaume wengi ndo wanaingia mkenge ).

4/ Shommy didn't make fun about her .in a cute way ambayo mdada mwwnyewe anhetabasamu kisha akasema ** Shommy you are joking** ...kwamfano angechomekea kuhusu uzuri wa wa demu ..

5/ Shommy didn't make fun about himself ..kwamfano hapa Shommy ,,alitakiwa aonyeshe uwezo wake wa kumfurahisha mwanamke kwanjia ya utani.

6/ Shommy kashindwa kabisa kufanya utani wa kimazingira..... Mfano hapo ...sababu walikua face to face ,jamaa alitakiwa amfanyie dem utani fulan wakumwandaa akili kwamba Nataman hayaazungumzo yangefanyika kwangu usiku !!.

Kwa ufupi Shommy didn't trigger the primary insta attraction ya mwanamke.. Nademu hapo atamuona jamaa muongeaji tu anayetumia His wealth kuwapata wanawake....kwasisi mabachela huwa tunatumia zile dakika 10 tu kumfanya mwanamke avutike kukukua zaidiii ,nawisho atakua wako nawakat huna hata Ka rava 4.
 

ahahahaha asante sana kwa ushauri... waalike na wengine
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…