Stori: Jinsi ya Kumtongoza Mwanamke

Stori: Jinsi ya Kumtongoza Mwanamke

Unanikumbusha kuna mwanamke nilikuwa namtongoza. Hapo nipo chuo udom, akaniambia niende hostel kwao kesho asubuhi. Rafiki zake hawatakuwepo. Siku hiyo nilitetememeka mpaka jasho maana nilikuwa naogopa sana, siku hiyo usingizi haukupita. hatujazoea leo niende room kwake. Duh! Mtihani. Km Mungu alisikia kilio changu. Asubuhi akanipigia simu amepata dharula anaenda lecture room kujisomea, kesho wanatest. Nilishangilia sana.
Mm mwanamke ambaye hatujazoeana, huwa namuogopa sana.
doh uje basi kujifunza huku

dadako amekimbia dushe njoo muonee Ushauri: Aliomba MACHINE kwa Mungu, alipopewa akaikimbia...


Mwengine amefumaniwa huku STORY: FUMANIZI LA UKUBWANI
 
Mmmh ni ndefu ila nitarudi kuisoma

3dc5d7fa018a2f732d3da1ccdf7c6175.jpg
 
Msaidie verses
Hivi kutongoza nako kuna mbinu, mbona wengine tunapwenda tu
Penny ni pm nikuwish happy new year
Mmmh ni ndefu ila nitarudi kuisoma

3dc5d7fa018a2f732d3da1ccdf7c6175.jpg
Msaidie verses
Hebu njoo pm
Unanikumbusha kuna mwanamke nilikuwa namtongoza. Hapo nipo chuo udom, akaniambia niende hostel kwao kesho asubuhi. Rafiki zake hawatakuwepo. Siku hiyo nilitetememeka mpaka jasho maana nilikuwa naogopa sana, siku hiyo usingizi haukupita. hatujazoeana leo niende room kwake?. Duh! Mtihani. Km Mungu alisikia kilio changu. Asubuhi akanipigia simu amepata dharula anaenda lecture room kujisomea, kesho wanatest. Nilishangilia sana.
Mm mwanamke ambaye hatujazoeana, huwa namuogopa sana.
njoooni imekuja sehemu mpya ya hadithi mumsaidie matehemu Thomas


Njooni huku mumsaidie marehemu alieshindwa kutongozaaa Stori: Jinsi ya Kumtongoza Mwanamke

Na huku dadaenu anafumaniwaaa STORY: FUMANIZI LA UKUBWANI
 
Back
Top Bottom