Ko jamaa ana kibamiwise???????dah Wahuni hatuna vyetu ila ukinasa show zetu ni kama tunalipa kisasi cha msoto,wenye nazo hawana show ,Mungu hakupi vyotee asee..komaa nae tu huyo ni mumeo sister
View attachment 2569988
- Simulizi ya kwanza ulivaa uhusika wa 'ME' na ushauri tukatoa
na
- Hii simulizi ya pili wewe ni 'KE'
=
Weka wazi kuwa ni Hadithi, ili kuondoa utata
=
Daah!Wanaume tunazidi Kupungua,Hivi Inakuwaje Mwanaume Anapata Uwezo Wa Kuandika Thread akijifanya Yeye Ni Wa Kike,Tena Ndani ya Thread anajitapa Kapigwa Show Ya Maana Na Dan.