Iyegu
JF-Expert Member
- Jun 16, 2014
- 6,276
- 12,404
Kijiweni bhana!
iwe kwenye kahawa,drafti,kwa fundi baiskeli...kwa fundi wa kushona nguo,stori ni kiungo muhimu sana kuliko kitu chochote mahali hapo...mara Simba mara Yanga,Man U mara Chadema mara makinikia...Tshishimbi mara Niyonzima..
Ikiisha hii inakuja ile,siasa mara uchawi[simtaja mshana jr],kila mtu kijiweni ni muongeaji,asipoongea atacheka,akiondoka anaenda kuhadithia..
Kijiweni ni sehemu yenye mambo mengi sana,utasikia hata idadi ya pasi alizopiga Ajibu kwenye mechi..
Ebu ngoja niende kijiweni nitakachosikia nitakuja kuwaambia...
iwe kwenye kahawa,drafti,kwa fundi baiskeli...kwa fundi wa kushona nguo,stori ni kiungo muhimu sana kuliko kitu chochote mahali hapo...mara Simba mara Yanga,Man U mara Chadema mara makinikia...Tshishimbi mara Niyonzima..
Ikiisha hii inakuja ile,siasa mara uchawi[simtaja mshana jr],kila mtu kijiweni ni muongeaji,asipoongea atacheka,akiondoka anaenda kuhadithia..
Kijiweni ni sehemu yenye mambo mengi sana,utasikia hata idadi ya pasi alizopiga Ajibu kwenye mechi..
Ebu ngoja niende kijiweni nitakachosikia nitakuja kuwaambia...