Nilkuwa Makutupora Opretaiom miaka 31 ya uhuru wa Tanganyika, C coy ya afande Unyuku na Coplo Mwashamba,
Huyu Mwashamba alikuwa Mshenzi sana ,kijamaa kifupi lakini hatari kwa mikwala na kadebra.KURUTA TULIIPATA PATA
Pia Koplo Beka, msambaa yule alikuwa na mkwala ,lakini alikuwa poa kidogo.
Hawa serengeti mimi wote walikuwa Dada zangu, Nilijitahidi kutunza Bikra zao, ili wakafaidi waume zao huko waendako.
Loo , lakini kuni za mitunduru zilitufikisha mbali kweli.
Panga moja watu 10 ,ukipangwa timu yako na Serengeti wengi umeumia, utawakatia kuni mpaka mkono uote sugu.