Stori za vikosi vya JKT

Stori za vikosi vya JKT

spidernyoka

JF-Expert Member
Joined
Jan 2, 2020
Posts
7,557
Reaction score
20,477
Kamanda OP yenu na kikosi chenu kombania gani ilikua inaongoza kwa serengeti wakali 821kj C coy walkua hatari
 
Uzi tayari...

Makutupora JKT....Nilibikiri mtu pale. Mungu Alishanisamehe kwa dhambi ile [emoji1545][emoji1545][emoji1545]
 
825 kj Op...?


Nilikuwa natoka na service girl at the same time natoka viserengeti viwili kwenye kombania yangu

Service girl alikuwa demu wa service man ambae alikuwa Rp wa vijana na mtoto alikuwa ananielewa asikii chochote na mwamba alikuwa ana mind kisenge maana nilimuibia huyo manzi in fact sikumuiba alinielewa

Halafu vile viserengeti vikajua navichanganya na service girl nae akajua natoka navyo

Pata picha hiyo movie [emoji23][emoji3][emoji3]


Nilikuwa natoweka kabisa ili kujinusuru
 
Nilkuwa Makutupora Opretaiom miaka 31 ya uhuru wa Tanganyika, C coy ya afande Unyuku na Coplo Mwashamba,

Huyu Mwashamba alikuwa Mshenzi sana ,kijamaa kifupi lakini hatari kwa mikwala na kadebra.KURUTA TULIIPATA PATA

Pia Koplo Beka, msambaa yule alikuwa na mkwala ,lakini alikuwa poa kidogo.

Hawa serengeti mimi wote walikuwa Dada zangu, Nilijitahidi kutunza Bikra zao, ili wakafaidi waume zao huko waendako.

Loo , lakini kuni za mitunduru zilitufikisha mbali kweli.

Panga moja watu 10 ,ukipangwa timu yako na Serengeti wengi umeumia, utawakatia kuni mpaka mkono uote sugu.
 
825 kj Op...?


Nilikuwa natoka na service girl at the same time natoka viserengeti viwili kwenye kombania yangu

Service girl alikuwa demu wa service man ambae alikuwa Rp wa vijana na mtoto alikuwa ananielewa asikii chochote na mwamba alikuwa ana mind kisenge maana nilimuibia huyo manzi in fact sikumuiba alinielewa

Halafu vile viserengeti vikajua navichanganya na service girl nae akajua natoka navyo

Pata picha hiyo movie [emoji23][emoji3][emoji3]


Nilikuwa natoweka kabisa ili kujinusuru
Mtabila hii

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom