spidernyoka
JF-Expert Member
- Jan 2, 2020
- 7,557
- 20,477
Kamanda OP yenu na kikosi chenu kombania gani ilikua inaongoza kwa serengeti wakali 821kj C coy walkua hatari
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
823Kj eagle coy ilikua ni noma na nusuUzi tayari...
Makutupora JKT....Nilibikiri mtu pale. Mungu Alishanisamehe kwa dhambi ile [emoji1545][emoji1545][emoji1545]
Mtabila hii825 kj Op...?
Nilikuwa natoka na service girl at the same time natoka viserengeti viwili kwenye kombania yangu
Service girl alikuwa demu wa service man ambae alikuwa Rp wa vijana na mtoto alikuwa ananielewa asikii chochote na mwamba alikuwa ana mind kisenge maana nilimuibia huyo manzi in fact sikumuiba alinielewa
Halafu vile viserengeti vikajua navichanganya na service girl nae akajua natoka navyo
Pata picha hiyo movie [emoji23][emoji3][emoji3]
Nilikuwa natoweka kabisa ili kujinusuru