JamiiForums
JF Official Account
- Nov 9, 2006
- 6,229
- 5,285
Yule mshindi wa Shindano la “JF Stories Of Change” atakayejinyakulia kitita cha Tsh. Milioni 5 anatarajiwa kupewa kitita hicho Jioni ya leo Oktoba 15, 2021 katika hafla fupi itakayoanza saa 12 jioni Jijini Dar.
Mshindi wa Kwanza atapata Fedha taslimu Tsh. Milioni 5, Mshindi wa Pili Tsh. Milioni 3 na wa Tatu atapata Tsh. Milioni 2. Zawadi nyingine zitahusisha Laptop na Simu za Mkononi kwa Mshindi wa Nne na Watano.
Vilevile JamiiForums, inatambua Mchango ya Uandishi wa Mwanachama wa JamiiForums ndugu Mohamed Said, hivyo atakua mmoja ya watu watakaopokea tuzo ya Uandishi.
Kuhusu Shindano
Jamii Forums (JF) ilitoa nafasi kwa wadau wake na wananchi wote wenye uwezo wa kutayarisha maudhui kushiriki kwenye shindano la uandishi wa maudhui mtandaoni wenye kuleta mabadiliko (Stories of Change).
Shindano lilikusudia kuongeza maudhui bora mtandaoni hususani ya lugha ya Kiswahili kwa ajili ya vizazi vya sasa na vya baadaye
Pia, shindano lililenga kuhamasisha ushiriki wa raia pamoja na makundi yasiyopewa vipaumbele kama watu wanaoishi na ulemavu kushiriki katika ukusanyaji na utayarishaji wa taarifa nchini.
Shindano hili lilianza Julai 14 hadi Septemba 30
Zaidi soma: Shindano: Uandishi wa Mtandaoni wenye kuleta tija (Stories of Change)
Tutawapa live kinachojiri katika utoaji zawadi kwa Washindi kutoka ukumbini kupitia huu uzi.
UPDATES
Picha: Baadhi ya watu waliohudhuria tukioUkumbi umependeza
=>Washindi wetu wapo Ukumbini
Picha: Mkurugenzi wa JamiiForums akieleza kwa ufupi mchakato wa shindao ulivyokuwa
Watanzania 1,509 walishiriki Shindano la 'JF Stories of Change' ambapo Makala/Maandiko 1,536 na baada ya mchujo maandiko 936 ndio yaliingia kufanyiwa mchujo ili kupata maandiko yaliyobora ambayo ndio yameshinda.
Shindano hili liliendeshwa kwa Siku 75 kuanzia Julai 14, 2021 mpaka Septemba 30, 2021
#StoriesOfChange #JamiiForums
Takwimu za mchakato wa shindao
Mgeni Rasmi yupo tayari kabisa kwa ajili ya kuwataja washindi.
Picha: Mgeni Rasmi Dr. Katrin Borneman, Head of Cooperation wa Ubalozi wa Ujerumani
1). GOLDER MMARI ASHINDA TSH. MILIONI 5 ZA SHINDANO LA UANDISHI LA JAMIIFORUMS
Picha: Mshindi wa Kwanza Golder Anael Mmari akipokea zawadi
Golder Anael Mmari ameibuka kama mshindi wa kwanza wa shindani la Stories of Change la JamiiForums na kujinyakulia kitita cha Tsh. Milioni Tano
Ameandika uzi uliojikita katika kuleta mabadiliko katika siasa ikiwemo kuwatumia wataalamu wa uchumi katika kuunda bajeti ya serikali
Aidha ametaka kuwepo kwa Taasisi ya Kudumu ya kuandaa na kusimamia Dira ya Maendeleo ya Tanzania ikiwa ni pamoja na kuishauri serikali masuala ya kimaendeleo.
Kusoma andiko lake kwa urefu, bonyeza hapa; Story of Change - Umuhimu wa kuwa na Dira ya Maendeleo ya Taifa inayotekelezeka kwa wakati na kwa kuzingatia rasilimali zilizopo
2). TSH. MILIONI 3 YA JAMIIFORUMS IMEMUANGUKIA SHIIJA MASELE
Picha: Shiija Balla Masele akipokelewa zawadi kwa niaba
Shiija Balla Masele amejishindia Tsh. Milioni 3 katika shindano la Stories OF Change ambapo yeye amekuwa mshindi wa pili
Shiija ameandika uzi wenye kichwa cha “Kiti Kizito” ambacho amekizungumza kwa namna kubwa ya kisanaa kuhusu “Kiti” ambacho kinakaliwa na wachache wanaopewa madaraka na wananchi
Kusoma andiko lake kwa urefu, bonyeza hapa; Story of Change - Kiti kizito wanachokalia wale wachache tunaowapa ruhusa ya kukaa juu yake
3). ELIBARIKI MUNA AJISHINDIA TSH. MILIONI 2
Picha: Elibariki Andrew Muna akipokea zawadi
Elibariki Andrew Muna amekuwa mshindi wa tatu katika Shindano la Stories of Change na kujinyakulia Tsh. Milioni 2 kama zawadi
Elibariki ameandika Umuhimu wa kuweka mkazo kwenye Kiingereza kwa kuwa kutokukijua Kiingereza haina uhusiano na uzalendo
Ameelezea madhara ya kutojua Kiingereza ikiwa ni pamoja na kushindwa kujielimisha na kujifunza kwa kuwa maarifa mengi hutolewa kwa lugha ya kiingereza
Kusoma andiko lake kwa urefu, bonyeza hapa; Story of Change - Tusikifumbie Kiingereza kana kwamba huo ndiyo uzalendo
4). TUZO YA LAPTOP IMEKWENDA KWA SHABANI GUO
Picha: Shabani Mwinyi Guo akipokea zawadi
Shabani Mwinyi Guo ambaye aliandika ushauri kwa Mamlaka ya Mapato Tanzania(TRA) amekuwa mshindi wa nne na kujinyakulia Laptop
Alishauri kwa masoko makubwa kuwa kanda za kufanya malipo yasiyo ya fedha taslim(Cash less zones) ili kujua miamala na kutoza kodi kwa urahisi
Ambapo kila mwananchi awe na Namba ya Mlipa Kodi (TIN) itakayokuwa na sehemu ya taarifa zilizoko kwenye kitambulisho cha Taifa(NIDA)
Kusoma andiko lake kwa urefu, bonyeza hapa; Story of Change - Ushauri wangu kwa Serikali kupitia TRA
5). LYAMBOGO MALEMBO AJINYAKULIA SIMU JANJA
Picha: Lyambongo James Malembo
Lyambongo James Malembo ni mshindi wa tano, ameandika umuhimu wa hospitali kutumia teknolojia katika masuala ya rufaa ili kuepusha usumbufu kwa wagonjwa
Masuala ya kusubiri daktari fulani asaini na taratibu nyingine zinazohusisha watu kuonana na makaratasi amezitaja kuwa na changamoto
Taarifa zikiwa kati kanzidata ni rahisi mgonjwa kwenda hospitali bila makaratasi na hospitali itaangalia jina lake kama amepewa rufaa na kuendelea na matibabu.
Kusoma andiko lake soma: Story of Change - Mabadiliko ya Mfumo wa Rufaa ya Matibabu (Medical Referral System)
TUZO YA HESHIMA IMEENDA KWA MWANACHAMA MOHAMED SAID
JamiiForums imetoa tuzo/zawadi ya kutambua Mchango wa Uandishi wa Mwanachama wake, Ndugu Mohamed Said
Mohamed amekuwa akitoa mchango mkubwa sana wa Uandishi wa Habari/Makala mbalimbali katika Jukwaa la Historia ndani ya JamiiForums.com[/B]
Mshindi wa Kwanza atapata Fedha taslimu Tsh. Milioni 5, Mshindi wa Pili Tsh. Milioni 3 na wa Tatu atapata Tsh. Milioni 2. Zawadi nyingine zitahusisha Laptop na Simu za Mkononi kwa Mshindi wa Nne na Watano.
Vilevile JamiiForums, inatambua Mchango ya Uandishi wa Mwanachama wa JamiiForums ndugu Mohamed Said, hivyo atakua mmoja ya watu watakaopokea tuzo ya Uandishi.
Kuhusu Shindano
Jamii Forums (JF) ilitoa nafasi kwa wadau wake na wananchi wote wenye uwezo wa kutayarisha maudhui kushiriki kwenye shindano la uandishi wa maudhui mtandaoni wenye kuleta mabadiliko (Stories of Change).
Shindano lilikusudia kuongeza maudhui bora mtandaoni hususani ya lugha ya Kiswahili kwa ajili ya vizazi vya sasa na vya baadaye
Pia, shindano lililenga kuhamasisha ushiriki wa raia pamoja na makundi yasiyopewa vipaumbele kama watu wanaoishi na ulemavu kushiriki katika ukusanyaji na utayarishaji wa taarifa nchini.
Shindano hili lilianza Julai 14 hadi Septemba 30
Zaidi soma: Shindano: Uandishi wa Mtandaoni wenye kuleta tija (Stories of Change)
Tutawapa live kinachojiri katika utoaji zawadi kwa Washindi kutoka ukumbini kupitia huu uzi.
UPDATES
Picha: Baadhi ya watu waliohudhuria tukio
=>Washindi wetu wapo Ukumbini
Picha: Mkurugenzi wa JamiiForums akieleza kwa ufupi mchakato wa shindao ulivyokuwa
Watanzania 1,509 walishiriki Shindano la 'JF Stories of Change' ambapo Makala/Maandiko 1,536 na baada ya mchujo maandiko 936 ndio yaliingia kufanyiwa mchujo ili kupata maandiko yaliyobora ambayo ndio yameshinda.
Shindano hili liliendeshwa kwa Siku 75 kuanzia Julai 14, 2021 mpaka Septemba 30, 2021
#StoriesOfChange #JamiiForums
Takwimu za mchakato wa shindao
Mgeni Rasmi yupo tayari kabisa kwa ajili ya kuwataja washindi.
Picha: Mgeni Rasmi Dr. Katrin Borneman, Head of Cooperation wa Ubalozi wa Ujerumani
1). GOLDER MMARI ASHINDA TSH. MILIONI 5 ZA SHINDANO LA UANDISHI LA JAMIIFORUMS
Picha: Mshindi wa Kwanza Golder Anael Mmari akipokea zawadi
Golder Anael Mmari ameibuka kama mshindi wa kwanza wa shindani la Stories of Change la JamiiForums na kujinyakulia kitita cha Tsh. Milioni Tano
Ameandika uzi uliojikita katika kuleta mabadiliko katika siasa ikiwemo kuwatumia wataalamu wa uchumi katika kuunda bajeti ya serikali
Aidha ametaka kuwepo kwa Taasisi ya Kudumu ya kuandaa na kusimamia Dira ya Maendeleo ya Tanzania ikiwa ni pamoja na kuishauri serikali masuala ya kimaendeleo.
Kusoma andiko lake kwa urefu, bonyeza hapa; Story of Change - Umuhimu wa kuwa na Dira ya Maendeleo ya Taifa inayotekelezeka kwa wakati na kwa kuzingatia rasilimali zilizopo
2). TSH. MILIONI 3 YA JAMIIFORUMS IMEMUANGUKIA SHIIJA MASELE
Picha: Shiija Balla Masele akipokelewa zawadi kwa niaba
Shiija Balla Masele amejishindia Tsh. Milioni 3 katika shindano la Stories OF Change ambapo yeye amekuwa mshindi wa pili
Shiija ameandika uzi wenye kichwa cha “Kiti Kizito” ambacho amekizungumza kwa namna kubwa ya kisanaa kuhusu “Kiti” ambacho kinakaliwa na wachache wanaopewa madaraka na wananchi
Kusoma andiko lake kwa urefu, bonyeza hapa; Story of Change - Kiti kizito wanachokalia wale wachache tunaowapa ruhusa ya kukaa juu yake
3). ELIBARIKI MUNA AJISHINDIA TSH. MILIONI 2
Picha: Elibariki Andrew Muna akipokea zawadi
Elibariki ameandika Umuhimu wa kuweka mkazo kwenye Kiingereza kwa kuwa kutokukijua Kiingereza haina uhusiano na uzalendo
Ameelezea madhara ya kutojua Kiingereza ikiwa ni pamoja na kushindwa kujielimisha na kujifunza kwa kuwa maarifa mengi hutolewa kwa lugha ya kiingereza
Kusoma andiko lake kwa urefu, bonyeza hapa; Story of Change - Tusikifumbie Kiingereza kana kwamba huo ndiyo uzalendo
4). TUZO YA LAPTOP IMEKWENDA KWA SHABANI GUO
Picha: Shabani Mwinyi Guo akipokea zawadi
Alishauri kwa masoko makubwa kuwa kanda za kufanya malipo yasiyo ya fedha taslim(Cash less zones) ili kujua miamala na kutoza kodi kwa urahisi
Ambapo kila mwananchi awe na Namba ya Mlipa Kodi (TIN) itakayokuwa na sehemu ya taarifa zilizoko kwenye kitambulisho cha Taifa(NIDA)
Kusoma andiko lake kwa urefu, bonyeza hapa; Story of Change - Ushauri wangu kwa Serikali kupitia TRA
5). LYAMBOGO MALEMBO AJINYAKULIA SIMU JANJA
Picha: Lyambongo James Malembo
Lyambongo James Malembo ni mshindi wa tano, ameandika umuhimu wa hospitali kutumia teknolojia katika masuala ya rufaa ili kuepusha usumbufu kwa wagonjwa
Masuala ya kusubiri daktari fulani asaini na taratibu nyingine zinazohusisha watu kuonana na makaratasi amezitaja kuwa na changamoto
Taarifa zikiwa kati kanzidata ni rahisi mgonjwa kwenda hospitali bila makaratasi na hospitali itaangalia jina lake kama amepewa rufaa na kuendelea na matibabu.
Kusoma andiko lake soma: Story of Change - Mabadiliko ya Mfumo wa Rufaa ya Matibabu (Medical Referral System)
PICHA YA WASHINDI, MKURUGENZI WA JAMIIFORUMS PAMOJA NA WAJUMBE WA BODI
Picha: Washindi wa Shindano wa Stories of Change wakiwa kwenye picha ya pamoja na Mgeni Rasmi pamoja na Mkurugenzi wa Jamiiforums. Kutoka kushoto msitari wa Mbele: Mwakilishi wa Lyambongo James Malembo, Elibariki Andrew Muna, Mwakilishi wa Shiija Balla Masele, Shabani Mwinyi Guo, Gloria Tausi, Golder Anael MmariTUZO YA HESHIMA IMEENDA KWA MWANACHAMA MOHAMED SAID
Mohamed amekuwa akitoa mchango mkubwa sana wa Uandishi wa Habari/Makala mbalimbali katika Jukwaa la Historia ndani ya JamiiForums.com[/B]
Upvote
2