Story: Fumanizi la ukubwani

Story: Fumanizi la ukubwani

Haaaaaa Kua fisi sio ajabu ..ila nyama unazokula nazo lazima zithibitishwe kwa hisani ya TANAPA .
ndio maana mnaambulia mifupa simba wameshatafuna nyama

mnabakia mnacheeeka cheeeka ovyo kumbe roho inauma kama mfupa mtamu hivi ivi nyama ilikuwaje?
 
ndio maana mnaambulia mifupa simba wameshatafuna nyama
Haaaaaa nibora ule mfupa uku unauhakika kabisaaa kwamba iki nikitoweo ..kula kulaa utajikuta umefakamia nungu nungu...

Sasa nataka kua simba ,nifanyeje ??.ila kweli raha ya kitoweo zile minofu yake.. Wacha nijitupe mwenyewe Mbugani.
 
Haaaaaa nibora ule mfupa uku unauhakika kabisaaa kwamba iki nikitoweo ..kula kulaa utajikuta umefakamia nungu nungu...

Sasa nataka kua simba ,nifanyeje ??.ila kweli raha ya kitoweo zile minofu yake.. Wacha nijitupe mwenyewe Mbugani.
ahahahahah shikamoo Money Penny mpaka Putin amenikubali Glory be God!

njoo ujifunze huku

mje na huku mjue jinsi ya kutongozaaa Stori: Jinsi ya Kumtongoza Mwanamke
 
MBINGUNI unakimbilia nini kuimba kwaya au
namechi za kila siku unamuachia nani sasa !!?

hahaaaa kubwa LA mashangingi Shikamoo kweli wewe Mamba yao
 
AHAHAHAHA
ME SIJUI ILA YUPO MCHEKLI KWAKE ANA HADITHI MPYAAA lara 1 unaitwa hukuuu

alafu lara ni mdog sana kwangu sio dadangu


dadako amekimbia dushe njoo muonee Ushauri: Aliomba MACHINE kwa Mungu, alipopewa akaikimbia...
Hahahah
Haya muhenga wewe endelea kupiga deal za 22m kwa mi story hot ya kidawa "kichwa cha panzi"
AHAHAHAHA
ME SIJUI ILA YUPO MCHEKLI KWAKE ANA HADITHI MPYAAA lara 1 unaitwa hukuuu

alafu lara ni mdog sana kwangu sio dadangu


dadako amekimbia dushe njoo muonee Ushauri: Aliomba MACHINE kwa Mungu, alipopewa akaikimbia...
 
Back
Top Bottom