KIfupi unasema watu wa twita ndo walewale wa jfUmeikopi huko mjini twitter
Ndiyo haohao wanazurula huku na hukoKIfupi unasema watu wa twita ndo walewale wa jf
Watanzania wengi wanajua siasa za Marekani na kumielewa Trump kuliko wanavo mjua Raisi Samia Suluhu..........hiyo ni ishara ya jamii isio kua na watu walioko serious.Twende kazi unahisi wanapiga story gani hapa?View attachment 3257358
KabisaNdiyo haohao wanazurula huku na huko
Nyuzi za simba na yanga nimesha zi ignore zote now najikita na basketball π
Je kama ni yeye kaianzisha huko twitter akaona ailete na huku?π€Umeikopi huko mjini twitter
Nitajie timu ya Canada yoyote ya basketballNyuzi za simba na yanga nimesha zi ignore zote now najikita na basketball π
Toronto raptors.Nitajie timu ya Canada yoyote ya basketball
"vichaa wa Ferry wote ni maafisa usalama wa taifa"Twende kazi unahisi wanapiga story gani hapa?View attachment 3257358
Umetisha mkali hongera sana πToronto raptors.