Story gani haiwezi kukosa hapa kwenye kijiwe hiki cha bodaboda?

elon musk ni Allien
Hela za Mo dewji ni za urithi
Kama isingekuwa Madrid kufungwa na real betis leo nilkuwa nakuja hapa kwa ajili ya kuaga tu
Bill gate ana hela ya kuilisha Tanzania kwa miaka hata mia
 
1 Simba na Yanga.
2. Kubetti na Mikeka.
3.wanawake na Malaya.
4.Barabara na Mizinga.
5. Matajili wa kitaa na Afisa usalama.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…