Story gani katika kitabu cha dini yako unafikiri ni hadithi ya ngano tu?

Binafsi kwenye kitabu cha dini yangu ya Kikristo, yaani BIBLIA TAKATIFU, sijawahi wala sitarajii kusikia Ngano humo ndani. Yote yaliyomo humo ni kweli tupu. Ni mafundisho ya kweli na ya UHALISIA.
FUNGUA Macho wewe. Au nidm nikuone she madudu kwenye biblia n dini yenu kwa ujumla
 

Bora ww mimi nilishasikiliza ule wimbo toka bagamoyo mpka naipata njia panda ya moshi nilichoka
 
Iko mambo unavurugwa kwenye page moja alafu nyingine inakurudisha kwenye mstari
 
Sasa ulipigwa na bukuku usimuliaje wake au kisa chenyewe
 
😂😂
 
Kwenye katuni ya Tom na Jerry mtu anagongwa na Gari hafi,..sembuse huyo wa samaki😉😉
 
Yaan alikata gogo humo humo
 
Sasa mfano kwann ni kiarabu tu hata kwenye swala
 
Kukosoa
 
Sasa mfano kwann ni kiarabu tu hata kwenye swala
Wewe kabila gani? Lugha mama kwako ni ipi? Ukishajiuliza hayo na kupata majibu sasa jiulize hapa JF unawasiliana na watu wa makabila mangapi na kwanini isiwe kwa lugha ya kabila lako?

Ukijibu hayo utaelewa hekima ya Allah kuifanya Qur'an kwa Kiarabu na salat zote za Waislam dunia nzima kwa lugha moja tu. Ni muujiza tunaoishi nao.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…