Story gani katika kitabu cha dini yako unafikiri ni hadithi ya ngano tu?

Story gani katika kitabu cha dini yako unafikiri ni hadithi ya ngano tu?

Mkuu hyo

mkuu hyo sio ngano wala chai, for those believers and muumin watapewa hao virgins kwa idadi kulingana na daraja zao hapo ni baada ya kuingia peponi na hao mabint wana sifa kubwa kwa mujibu wa Allah mwenyewe note hawajawahi kutuliwa hata na nzi au sisimizi, fanya mema mkuu utawapata
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Inatakiwa uwe mjinga sana kuamini upuuzi Kama huu
 
"the greatest crime that Humanity has done to its generation is promising them that there is a best life other than this one"-Sadhguru
 
Mkuu hyo

mkuu hyo sio ngano wala chai, for those believers and muumin watapewa hao virgins kwa idadi kulingana na daraja zao hapo ni baada ya kuingia peponi na hao mabint wana sifa kubwa kwa mujibu wa Allah mwenyewe note hawajawahi kutuliwa hata na nzi au sisimizi, fanya mema mkuu utawapata
Wanawake kama kina FaizaFoxy wao watapewa nini??
 
namaanisha nipate referrence ya kujua kuwa huyo mtu alianza kushukiwa na hayo maandishi from 40 to 63 yrs
Ndugu yangu unafikiri aya kushuka labda ka karatasi kanadondoka kenye maneno ya kiarabu? Hapana.
Kuanzia mwamedi alipotokewa na shetani ambaye alijiita jibri (kujifananisha na Gabriel) akapewa majini ya kutosha yaliyomsaidia kueneza dini kwa ukatli mkubwa.

Sasa akiulizwa swali yale majini yanampanda, anaanza kutetemeka hapo wafuasi wanajiandaa kusikilia Mungu anasema nini, akitulia basi aya imeshashuka

Kama umewahi kushuhudia mashehe wanavyopandisha mashetani na lile shetani linavyoongea kwa yule mtu (wanamwita kiti), ndivyo mwamedi majini yakimpanda kile yanachoongea ndio aya imeshuka. Akiwa kawaida akiongea hizo ni hadithi zake tu
 
Ngano ni hadithi fupi inayosimuliwa kwa kusudi la burudani na pia mafundisho. Ni mambo ambayo hayajawahi kutokea kuhalisia. Ukitafakari kwa kina utagundua sehemu kubwa ya dini nyingi zimejengwa katika msingi huu.

Story gani ujawahi kuiamini kama ni ya kweli na halisi katika kitabu cha dini yako?
Kupata mabikira wenye macho makubwa/yenye presha/kurembua kispoti na pombe nyingi kama "gunia" saba kwa kila mmoja kila siku.Huo ni uongo mtakatifu kwa sisi maustaadh.
 
Habari ya muujiza wa samaki na mikate huwa najaribu kutazama naona muujiza pale ni kuongea bila kipaza sauti na watu zaidi ya Elfu Kumi na wakasikia.
Nadhani mkazo kwangu ungekua kwenye muujiza huu wa kuongea na maelfu ya watu bila kipaza sauti na wakasikia kuliko mikate na samaki.
 
Back
Top Bottom