Muuza Viat
JF-Expert Member
- Dec 23, 2022
- 2,826
- 7,388
Ha ha ha we jamaaNipo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ha ha ha we jamaaNipo
Nimefanyaje mkuuHa ha ha we jamaa
Nimefurahishwa na post zako kuhusu madesa ndan ya baiboNimefanyaje mkuu
HahaNimefurahishwa na post zako kuhusu madesa ndan ya baibo
KENZY kama ikikupendeza![]()
ungana nasi katika kuwakomboa waafrika kutoka kwenye utumwa wa kifikra
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mkuu hyo
mkuu hyo sio ngano wala chai, for those believers and muumin watapewa hao virgins kwa idadi kulingana na daraja zao hapo ni baada ya kuingia peponi na hao mabint wana sifa kubwa kwa mujibu wa Allah mwenyewe note hawajawahi kutuliwa hata na nzi au sisimizi, fanya mema mkuu utawapata
Wanawake kama kina FaizaFoxy wao watapewa nini??Mkuu hyo
mkuu hyo sio ngano wala chai, for those believers and muumin watapewa hao virgins kwa idadi kulingana na daraja zao hapo ni baada ya kuingia peponi na hao mabint wana sifa kubwa kwa mujibu wa Allah mwenyewe note hawajawahi kutuliwa hata na nzi au sisimizi, fanya mema mkuu utawapata
Ndugu yangu unafikiri aya kushuka labda ka karatasi kanadondoka kenye maneno ya kiarabu? Hapana.namaanisha nipate referrence ya kujua kuwa huyo mtu alianza kushukiwa na hayo maandishi from 40 to 63 yrs
Kupata mabikira wenye macho makubwa/yenye presha/kurembua kispoti na pombe nyingi kama "gunia" saba kwa kila mmoja kila siku.Huo ni uongo mtakatifu kwa sisi maustaadh.Ngano ni hadithi fupi inayosimuliwa kwa kusudi la burudani na pia mafundisho. Ni mambo ambayo hayajawahi kutokea kuhalisia. Ukitafakari kwa kina utagundua sehemu kubwa ya dini nyingi zimejengwa katika msingi huu.
Story gani ujawahi kuiamini kama ni ya kweli na halisi katika kitabu cha dini yako?
Kwahiyo dini ni za vichaa? The Mongolian SavageDini hazitaki matumizi sahihi ya akili
Hapana mkuuKwahiyo dini ni za vichaa? The Mongolian Savage