Kiranja Mkuu
JF-Expert Member
- Feb 18, 2010
- 4,219
- 4,608
Hamjambooni wote. Mimi niko sawa, hata baridi imekwisa siku hizi.
Sasa nataka kuwapatia kisa kimoja.
Sasa kuna huyo dame anaitwo Gathoni alikuwa ameolewa na mjaka. Gathoni samani alikuwa ni Malaya tuu anaishi sijui hapo panaitwo Kwa Maina hapo Kayole. Kwao ushago ni hapo Banana ukipita Ruaka.
Harafu wakaonana na huyo mjaka anaitwo Tom. Jamaa mpoa sana alikuwa mechanik hapo Jogoo road wanatengesa Marsides na BMW. Tom na Gathoni walikuwa wanaishi hapo makadara, lakini turijuliana Tents. Haki Tom alikuwa mpoa hata akinikuta Tents Pilsner tano sinaanguka hapo hapo. Harafu alikuwa anaangalia Gathoni kama maraika. Nyumba yao, Ngai! Kata friddgy kurikuwa!
Sasa, wiki tatu hivi, wakora wamepiga Tom kwa kichwa na chuma akakufa. Sijui nikumuonea tuu. Alisikwo kwao jusi sijui kunaitwo Mijori ama Migore, sijui. Sasa Gathoni anasema brother wa Tom wanamusubua sana. Mumoja anataka kuishi huko kwao. Tena anamwabia hiyo vitu yote kwa nyumba ni yao, imagin!
Harafu wakati warieda kuzika Tom, Gathoni akaabiwo anyoe nywele yote na asikure nyama sijui ya nini mwezi musima.
Harafu Gathoni anaogopa ataabiwo na hao watu wa Tom aoe ndugu ya Tomu. Na sasa arikuwa amesaa mutoto mmumoja anaitwo Benard Onyango na sasa wasasi wake wanamwabia amwite Beranard Wanyoike kama baba yake.
Sasa Gathoni amechanganyikiwo sana. Sijui nimwabie nini?
Aniway, leo sina mabo mingi. kwasa niko broke sana. bye bye.
Sasa nataka kuwapatia kisa kimoja.
Sasa kuna huyo dame anaitwo Gathoni alikuwa ameolewa na mjaka. Gathoni samani alikuwa ni Malaya tuu anaishi sijui hapo panaitwo Kwa Maina hapo Kayole. Kwao ushago ni hapo Banana ukipita Ruaka.
Harafu wakaonana na huyo mjaka anaitwo Tom. Jamaa mpoa sana alikuwa mechanik hapo Jogoo road wanatengesa Marsides na BMW. Tom na Gathoni walikuwa wanaishi hapo makadara, lakini turijuliana Tents. Haki Tom alikuwa mpoa hata akinikuta Tents Pilsner tano sinaanguka hapo hapo. Harafu alikuwa anaangalia Gathoni kama maraika. Nyumba yao, Ngai! Kata friddgy kurikuwa!
Sasa, wiki tatu hivi, wakora wamepiga Tom kwa kichwa na chuma akakufa. Sijui nikumuonea tuu. Alisikwo kwao jusi sijui kunaitwo Mijori ama Migore, sijui. Sasa Gathoni anasema brother wa Tom wanamusubua sana. Mumoja anataka kuishi huko kwao. Tena anamwabia hiyo vitu yote kwa nyumba ni yao, imagin!
Harafu wakati warieda kuzika Tom, Gathoni akaabiwo anyoe nywele yote na asikure nyama sijui ya nini mwezi musima.
Harafu Gathoni anaogopa ataabiwo na hao watu wa Tom aoe ndugu ya Tomu. Na sasa arikuwa amesaa mutoto mmumoja anaitwo Benard Onyango na sasa wasasi wake wanamwabia amwite Beranard Wanyoike kama baba yake.
Sasa Gathoni amechanganyikiwo sana. Sijui nimwabie nini?
Aniway, leo sina mabo mingi. kwasa niko broke sana. bye bye.