Ulimakafu
JF-Expert Member
- Mar 18, 2011
- 31,248
- 13,244
Ha haaaaaaaaaaa..........Toka lini mmanuaji akafanya jambo la maana?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ha haaaaaaaaaaa..........Toka lini mmanuaji akafanya jambo la maana?
Kakolanya anatufaa zaidi kuliko huyu mtumia ndumba manula.
[emoji28] [emoji28] [emoji28] Eti Mnata na Beno hawakuwepo!
Unajua Beno kacheza mengi ngapi akiwa Yanga, Mnata umeanza kumsikia lini?
Siku zote timu za top 4 ndizo mara nyingi hutoa wachezaji bora wa msimu (kipa, washambuliaji, mabeki, viungo nk)
Huyu Mnata angekuwa kipa bora lini na timu aliyokuwa anachezea ilikuwa kwenye msitari wa kushuka daraja msimu uliopita! Huyo Beno ametoa Tanzania Prisons anakuja Yanga bado hakuaminiwa wakati huo yupo Youth Rostand, Baada ya Rostand kuondoa Beno alicheza mechi ngapi zenye kutosha kumpa ushindani dhidi ya Manula ili wachuane kwenye tuzo ya kipa bora?
Beno anahitaji muda kuaminiwa tofauti na Manula aliyeonyesha kitu Afcon + CCL.Aron Kalambo, Rashid Abdallah, Bidii Hussein hawa ni moja magolikipa wazawa ambao wanaweza kuleta ushindani wa wao kwa wao japo watakaa kimadaraja.
Hata kabla kuitwa kwa Kaseja mimi niliamini hakuna golikipa mzuri nchini kwa sasa kumzidi Kaseja. Golikipa namba mbili kwangu kwa sasa hadi atakapopatikana mwingine wa kukaa kwenye hiyo nafasi ni Kakolanya.
Siwezi kumbeza Manula ila hana uwezo wa kupambana na hao makipa niliotaja.
Ile ilikuwa hatari sana... na ubora wa kipa unatokana na save zake.Ila juzi Kaseja aliokoa mpira mmoja ulipigwa kitaalam dak za lala salama za Extra Time.Ule mpira ulielekea golini ukiwa unazuka huku ukizama (dipping ball) kuelekea golini.Kaseja aliruka juu sana na kuupiga ngumi na kuwa kona ambayo ilikuwa butu baadae.Sote uwanjani tulikuwa tumeshashika vichwa kusubiri "Kamba"
Beno anahitaji muda kuaminiwa tofauti na Manula aliyeonyesha kitu Afcon + CCL.
Kaseja hata akidaka vibaya kwa sasa... hakuna kipa wa kumfikia kati ya hawa
Ila juzi Kaseja aliokoa mpira mmoja ulipigwa kitaalam dak za lala salama za Extra Time.Ule mpira ulielekea golini ukiwa unazuka huku ukizama (dipping ball) kuelekea golini.Kaseja aliruka juu sana na kuupiga ngumi na kuwa kona ambayo ilikuwa butu baadae.Sote uwanjani tulikuwa tumeshashika vichwa kusubiri "Kamba"
Kwani Manula Ameokoa michomo mingapi katika team yetu hii dhaifu dhaifu ?
Inakumbuka mechi na Uganda pale huyu bwana mdogo alitubeba kiasi gani ?
Wakati tunamsifu Kaseja tumpe Heshima yake Aishi Manula
Mbux3 hamtaki kuambiwa ukweli kuwa Manula ni shatiMtoe wewe umuweke kindoki
Ukweli uwe nao wewe churaMbux3 hamtaki kuambiwa ukweli kuwa Manula ni shati
Beno ndio ana kazi kubwa yakufanya apate nambaManula mnataka approve kipi kumpita Kaseja ?
CAF tournaments
Caf champions league wote wameishia Quater final 2003 kaseja
2018_ 2019 manula kafika Champions league quater final
2019 Manula kacheza Afcon na kucheza Saves nyingi kuliko Golikipa mwingine yoyote katika mechi mbili tu
CECAFA.
2010 tulibeba kombe kwa Mkapa kaseja akicheza Penalty national team.
CECAFA challenges Manula amebeba mara moja akiwa na Azam.
Ligi kuu hope kaseja na title more than ten while mwenzake anazo tatu sasa hatujui atazibeba ngapi huko baadae.
Huyu bwana mdogo tusimbeze he is classy golini kaseja is excellent kwenye penalty shootouts.
Beno ndio ana kazi kubwa yakufanya apate namba