appoh
JF-Expert Member
- Mar 14, 2013
- 5,262
- 2,184
Msanii huyu alikua mkubwa sanaa anapesa nyingi kumpa mwanamke gar ya thaman kwake ni kama kumnunulia kanga
Kuna muda alikua anapita tu mitaa ya kariakoo sasa hiv imebadilishwa jina inaitwa appoh street bas huyo msanii alikua anagawa tu pesa au akipita mtaan asipokupa hela hasikii hela yaan alikua na hela mpaka anaumwa anashindwa kuzitumia anataka kuzigawa ili zipungue tu
Ugonjwa wake ulikua wanawake nikisema wanawake namaanisha wanawake haswa shepu kama nyumba
Ila kwa sasa msanii huyu anatia huruma ni masikin wa kutupwa pesa zake aliwekeza kwenye anasa na madem mkimuona mtaan msimseme msaidieni
Katika miaka ya 2010 na 2035 ulikua wakat wake ila sasa 2087 umr ushampita kura yake ya tabu magonjwa yanamuandamaa masikini jwtz beki namba mbili wa yanga kutoka ivory cost
Kuna muda alikua anapita tu mitaa ya kariakoo sasa hiv imebadilishwa jina inaitwa appoh street bas huyo msanii alikua anagawa tu pesa au akipita mtaan asipokupa hela hasikii hela yaan alikua na hela mpaka anaumwa anashindwa kuzitumia anataka kuzigawa ili zipungue tu
Ugonjwa wake ulikua wanawake nikisema wanawake namaanisha wanawake haswa shepu kama nyumba
Ila kwa sasa msanii huyu anatia huruma ni masikin wa kutupwa pesa zake aliwekeza kwenye anasa na madem mkimuona mtaan msimseme msaidieni
Katika miaka ya 2010 na 2035 ulikua wakat wake ila sasa 2087 umr ushampita kura yake ya tabu magonjwa yanamuandamaa masikini jwtz beki namba mbili wa yanga kutoka ivory cost