Story ya Mwanaume mmoja Hapo Kibaha

Story ya Mwanaume mmoja Hapo Kibaha

Ifahamike sitotaja jina la wahusika/mhusika

Kuna jamaa mmoja hapo kibaha alitembelewa na Shemeji yake (kaka wa mke wake)

Basi jamaa alishindwa kudhibiti tabia yake ya kumpiga mkewe na gubu lililopitiliza, wakiwa na mgeni (shemeji) usiku mmoja jamaa alianza kwa kulalamika mambo ya kipuuzi kisha akaanza kumpiga mkewe kipigo heavy.

Kaka mtu akaona huu ni ufala aliingilia ugomvi akampiga jamaa, akampiga jamaaa, yaaani akampiga jamaa mpaka jamaa akaiva.

Akapvunja vunja vyombo vya ndani kisha akawatoa jamaa na mkewe nje akawafungia nnje kisha akalala ndani yeye kama Afisaaa vile.

Asubuhi kulipo kucha jamaa akabeba kibegi chake akaweka kibegi chake begani kisha akasepa zake Chalinze kibingwa jamaa na mkewe wakaingia ndani nakwenda kujipumzisha kwauchovu wa mkesha.

#tupunguze ushababi mbele ya ndugu wa wake zetu...
Kichapo ulichezea wewe
 
Kuna baba alikuwa anampiga mkewe sasa alikuwepo mdogo wake mke wake (jinsia ke) kavumilia ila uzalendo ukamshinda akaingilia ugomvi, dada (mke) kamuachia ugomvi mdogo ake alipigwa masikini
 
Kuna baba alikuwa anampiga mkewe sasa alikuwepo mdogo wake mke wake (jinsia ke) kavumilia ila uzalendo ukamshinda akaingilia ugomvi, dada (mke) kamuachia ugomvi mdogo ake alipigwa masikini
Aseeeee
Dawa ya ugomvi ushinde
 
Afu anakuambia “Ole wako dada alalamike tena”!
ndo maana mm cjawai kunyanyua mkono wangu kumpiga mwanamke,,akiniudhi sana naingia chumbani,,,najifungia mlango,,,nazima na taa....kisha naangua kilio usiku kucha kisha asbh hasira zangu zinakua zimeisha,,,kuwapiga hawa viumbe saa zingine yataka mioyo,,,wengine wao wenyewe wanapiga balaa....
 
Utakuwa umeolewa ww
ndo maana mm cjawai kunyanyua mkono wangu kumpiga mwanamke,,akiniudhi sana naingia chumbani,,,najifungia mlango,,,nazima na taa....kisha naangua kilio usiku kucha kisha asbh hasira zangu zinakua zimeisha,,,kuwapiga hawa viumbe saa zingine yataka mioyo,,,wengine wao wenyewe wanapiga balaa....
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
ndo maana mm cjawai kunyanyua mkono wangu kumpiga mwanamke,,akiniudhi sana naingia chumbani,,,najifungia mlango,,,nazima na taa....kisha naangua kilio usiku kucha kisha asbh hasira zangu zinakua zimeisha,,,kuwapiga hawa viumbe saa zingine yataka mioyo,,,wengine wao wenyewe wanapiga balaa....
 
Kuna baba alikuwa anampiga mkewe sasa alikuwepo mdogo wake mke wake (jinsia ke) kavumilia ila uzalendo ukamshinda akaingilia ugomvi, dada (mke) kamuachia ugomvi mdogo ake alipigwa masikini
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
ndo maana mm cjawai kunyanyua mkono wangu kumpiga mwanamke,,akiniudhi sana naingia chumbani,,,najifungia mlango,,,nazima na taa....kisha naangua kilio usiku kucha kisha asbh hasira zangu zinakua zimeisha,,,kuwapiga hawa viumbe saa zingine yataka mioyo,,,wengine wao wenyewe wanapiga balaa....
Niliwahi mpiga mschana once nikiwa mvulana(n she wasn’t even my girl),mpaka leo najisikia vibaya!!
Kuna muda wanaudhi yaani hasira mpaka kooni afu bado wana mdomo,lakini kupiga nilishashindwa aisee.kitu kimoja tu kinaweza fanya nikamtandika...kimoja tu
 
Back
Top Bottom