Story za mkeo/mpenz wa ndoa


heheheee umenchekesha na scene yako thanx, ila mapenz ni kuheshimiana, kuvumiliana,....etc. Kwani nyie wanaume hamna maongezi ambayo yanaboa? au yanamboa mkeo? mbona huwa anakusikiliza tena akiwa macho kodo bila hata kupiga kope? just emagine unastory yako then wakati unaisimulia mkeo anachat bbm na tabasamu mwisho anaangua kicheko kikubwa wakati story unayopiga wewe ni ya kuhuzunisha utajiskiaje? si kwamba alikuwa hakusikilizi? au utapata picha kwamba unampigia kelele na siajabu ukatumia mabavu yako na kuanza kumpiga biti hebu wnaume lainikeni kidogo hata kwa nusu saa tu loh!!!
kweli aliyesema think like a man act like a lady hakukosea
 

hahahaaaa yaani umenichekesha hadikahasira kameisha coz wakati naandika hii thread nilikuwa na hasira za kutosikilizwa lol thanx,
siko hivo sina story za kuzungumzia nani kafanya nini ni maongezi hata yanayojiri serikalini, vichekesho utadhani yeye hapendi kucheka aah inachosha kwa kweli. Ila kama uko hivyo tit for tat na mimi ukianza tuu stury zako za ligi kick u out of bed looh sijui kitafuata nini hapo....
 
Wanawake wengi nadhani tuna nature ya kuongea...lakini sioni kwa nini mume akasirike kama mazungumzo si mabaya. Mimi mume wangu nikiwa nae nikikaa kimya dakika kumi lazima tugombane...anapenda sana kusikiliza story zangu...mpaka inafika kipindi nachoka.

Kuna siku niliingia kwenye gari na novel nikaanza kusoma..akauliza NK mbona unanichunia leo? Yeye ni mkimya sana na ni patient anapenda sana kusikiliza na wala hakukatishi hata kama unachoongea kitakuwa kina bore. That is why I love him.

Mimi ni opposite nina tabia mbaya ni mwepesi wa kukatisha mtu akiwa anaongea nikiona story haina mpango.

Wakati mwingine ananunua gazeti la mwanahalisi afu ananambia nimsomee wakati anaendelea ku drive. I think I am very lucky.

Ila najua asichopenda ni kuleta stori tukiwa kitandani. Na hilo naepuka. Kitandani ni dirty talks tu basi.

Nadhani tatizo mlilo nalo nyie waume zenu pia ni waongeaji...muongeaji na muongeaji hawawezi kuwa compatible...nani atamsikiliza mwenzie???? Nikikutana na mtu mwenye maneno kama mie uwa nakaaga kimyaaa. Maana inakuwa kama tunashindana vile.
 

Sijamaliza kusoma story nzima lakini hapo red pamenichekesha sanam, loh! ........ ila ngoja nimalizie utamu wote plus comments za wadau
 
Wanawake wote wakiwa hivi mfumodume hauishi kamwe.

Mwanamke ni lazima abadilike kumfuata mwanamme, hata kama mwanmme ni an antisocial jerk.

shida moja ni waongo sana na mngekuwa mnaonyesha from day one unamtongoza mschana kwamba wewe ni anti social au kumpeleka shopping mpenz ni shida kwako walaah hakuna mschana ambaye angewakubali ma boys antisocial, we antisocial kwani we jiwe?
tuna refer day one ulichosema but now unajidai huko ivyo hee! nyie mibaba mnamaudhi sana aaaah!
 

polee coz kwa mfumo huu mnajiharibia CV with time mtaachiwa manyoya shauri yenu msije sema sijawaibia siri ya wadada walioolewa.
sometimes kweli unamuona hubby yuko down na unajaribu kumcherish hasira zimuishe but badala ya kufurahia kuondolewa huzuni anakuambukiza nawe huzuni mbayaaaaa loooh alijisemea mama Rwakatare. Fungukeni muwaambie ukweli wake zenu hamtapata hizi story za kichwa na miguu tutakuwa tunazireserve kwa ajili ya kichen party tuu.
Ila wanawake wanaweka vitu vingi moyoni na kusubiri kuvimwaga kwa wampendaye au waliye karibu naye... hapo chacha msikilizaji kalewa puuh!
 
Sakapal hebu nenda kasome Code of Conduct (Hapa kikazi zaidi) maana imekupita kushoto

Kuhusu hizo story wanaume hawapendi kusikiliza wake zao wala kuongea nao sijui kwanini lakini ukikuta yuko na mpango wa kando anacheka mpaka jino la 32 unaliona........................
 

yaani umenifurahishaaa! pata na like ya maneno hapa *100

yaani huo ndo uchawi utakaomlogea mkeo hatabanduka home akikusubiri uje umsikilize, coz sometime anataka akudekee tu na kitu cha kijinga utaskia hebu sogea huko lol unaborekajeeee!!

wanaume wote wangefanya kama ulivoeleza hapo juu mngefurahi na wake zenu for good am telling u, am a woman and i know it yaani akikuona tu tabasamu kubwaaa na .......
 
it is boring for sure!najaribu kuwaza masaa matatu mko kwenye foleni na unaongea tuuuu... mpaka mfike home?mpaka mwaka uishe anatesekaje?bila shaka asubuhi pia mnatumia masaa mawili kwenda job pia unaongea japo hujatuambia unaongea kitu gani maana mtakuwa mmetoka kuamka!!!nashauri uwe unapanda daladala au mnunue gari lingine!!ingekuwa dk 15 tu mmefika home/kazini wala asingekuwa hivyo
 
talking is everything in a relationship, hapo ndio pa kumjua na kumsoma vema mwenzi wako!!! ila tu tujue kupeta chuya na mchele! tupembue pia mawe na mchele! iwe 50/50! sio we unaongeaaaaaaa kama radio, na mwenzio awe na chance pia! lolest!
 

thanx my dear SnowBall yaani story ndani ya ndoa zinachangamsha na kuboresha mapenz, ila mi bado ninaombi kwa wanaume pls mkiona mnaboreka waambieni wake zenu kuliko kumuacha na sononeko sio vizuri hivyooo..
 
Mmmmh, kukosea tena???

Hivi maongezi nayo yana manual??

Kazi sana dunia ya sasa

Tv na redio zimefanya familia zimekuwa na ufa.

 

Kongosho nimekugongea LIKE, ni muhimu mtu ukajua unatumbukia kwenye shimo la kina gani ili ushauriane vizuri na miguu!!!
 
Trust me, sikukurupuka kwenye kuoa mke na sijaweza kumuheshimu na kumtunza kiasi cha kuja kupinduliwa kirahisi kama unavyodhani.
Na wala mke wangu hayuko hivyo

hongera dah utakuwa unaenjoy...
 
Mmmmh, kukosea tena???

Hivi maongezi nayo yana manual??

Kazi sana dunia ya sasa

Tv na redio zimefanya familia zimekuwa na ufa.
siyo dunia ya sasa.................. hata zamani baba alikuwa akirudi nyumbani anakaribishwa, anasalimiwa, anaulizwa kama ataoga kwanza au kula kwanza, maongezi yanakuja baadae. siyo kama ulikuwa unamngojea vile, akitokea tu unaanza na stori zako, bandika bandua..............
 

yaani wewe u have win ur wife kama umeoa am telling u, hutaboreka u have known the secret of woman nahisi hupati hata shida ya kumuuliza umefika... wakati wa majamboz maana wengine wanauliza utafikiri hawajui kama uko happy au bado uko njiani lol. Wanaume wengine huko use this way of Kiranga hutaboreka na mkeo. Ushauri wa buree tu. Thanx much kiranga
 
Mpaka kufikia hapo utajionyesha hukufanya homework yako mapema.

We hupendi mtu anayeongea, imekuwaje ukaruhusu kuwa naye huyu?

Hukuona hilo mwanzo?
hapo chacha..
 
But then she will drive you nuts with her stories! Kwa kweli kuvumilia mtu akiongea story ambazo huzipendi kila siku ili kuogopa 'emotional neglect' ni utumwa.
Hapa labda tukubaliane aambiwe kama hana story za msingi anyamaze period!

jamani basi jaribu kulainisha maneno like tumia lugha tamutamu kumnyamazisha. Au its better umwambie hivi,'' mke wangu hizo story za A-J mimi zinanibore napenda sana kuongea na wewe but naloose temper ya kukusikiliza zikijirudiarudia, tuongelee vitu vingine'' na hapo waweza suggest topic nakwambia mwanamke anafuata mkondo wa mwanaume kama maji atakuelewa na hutasikia tena makelele looh
 

Vigezo vya kukick 'ana viishie kwenye gari au jikoni, huko kitandani mbali sana visifike.
 
Nimejifunza mengi baada ya kupitia uzi huu; Asante mleta mada. Sina uzoefu sana ktk hili coz mimi ni mvivu wa kusikiliza lkn pia si muongeaji saaana!

Nahisi, mko katika stage ya kuanza kuchokana at least mwenzio. Jaribu kupeana space, ikiwezekana kutoshare usafiri mnapoenda kazini; ili atleast mkumbukane walau kidogo. Usibadilike, alikupendea jinsi ulivyo na ndio maana ukistopisha story ananuna; ila punguza muda wa kuwa pamoja ili usijiboe na kumboa mwenzio!

Cha mwisho, ulivyouliza humu; muulize the same question mumeo lkn make sure anapata picha ambayo sisi tumeipata in a constructing way.

All the best!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…