Kiranga
Platinum Member
- Jan 29, 2009
- 78,790
- 128,275
story zangu za kawaida sana wala sidhani kama zinaboa, lakini pia nisiusemee moyo wa mtu may be zinamboa shida ni kwamba mdomo anao why haniambii? hajawahi sema na bikiona sisikilizwi au nakatishwa njiani nanyamaza baada ya muda utasikia mbona huongei, umeamua kuninunia sasa sielewi sijui ndo hii sitaki nataka au madeko tuu looh kama hapendeki...?
Ujue kuna watu wengine visirani pia.
Akikigeuza kisirani chake kako, chochote utakachofanya hapendi, anataka ufanye chengine.
Again muhimu kujuana mwanzo.