Story Za Vijiwen Special Thread

taifa toka Afrika kuwa super power bado sana,labda itokee wao waangamizane kwanza tena pande zote...from east to west;ndio ibakie Afrika pekee yakee tyu
 
Ebaana eeeh unamuona huyo mwanamke/jamaa? Ana UKIMWI WA HATARI dah stori kama hizi huzikosi kwenye vijiwe majungu
 
Hizo story noma sana, nakumbuka kuna Jamaa mmoja alisema kua Fidel Castro aliwahi kutoroka Gerezani Guantanamo bay akapiga mbizi kwa mda wa siku tatu yuko majini tu anabiga mbizi mpaka alipofikia Nchi kavu..aseee hua siisahau hyo
 
Hizo story noma sana, nakumbuka kuna Jamaa mmoja alisema kua Fidel Castro aliwahi kutoroka Gerezani Guantanamo bay akapiga mbizi kwa mda wa siku tatu yuko majini tu anabiga mbizi mpaka alipofikia Nchi kavu..aseee hua siisahau hyo
Ah aha ha ha aha h
 
Nilikuwa nataka kujenga nyumba ya mungu kijijini kwetu,
Nikaomba ushauri Wa kijiweni ,wakaniambia niache haraka sana huo mpango sababu , nitarogwa na wanakijiji .Story za vijiweni bwana!
Njoo Tuish Huku Kibit Raha Sana Huku
 
Daah!
Yaani ulivyoondoka kijiweni akaja mzee mwingine, yeye akatuletea amini usiamini eti bado kitambo kidogo jua litawia magharibi na machweo itakuwa mashariki.

Ghafla wakatokea manjagu:-
Njagu: Mnafanya nini hapo
Msela nondo: kwani nyie vipofu?

Huwezi amini wameturushia bomu la machozi ili kututawanya!
 
Nilibahatika kutembelea round about ya kariako, pale wanauza ma remote control!

Nikakuta mastory yamepamba moto.

Jamaa:-
Marekani imeshawahi kutuma ndege ya kipelelezi nchini urusi, ikarudi imepakwa rangi ya urusi!😀😀
 
Kijiweni huwezi kosa stori za wanawake utaskia nilipata demu flani mtamu kama nguruka, baadae nikawa na demu wa kihaya kutoka hapo nikapata mtoto wa kipogoro, baadae nikapata mtoto wa kiruguru mtoto mtu pi fupi ana difu moja matata sana ya kufunga teriaz, baadae nikapa mtoto wa kirangi, mweupeeee, ila ndo sprinta ilikuwa hamna, kisha Manka wa kichaga huyu sikukaa nae sana tukabwagana alikuwa akinisachi usiku, nikapata toto la kitanga Hilo baba usio be lina mambo ya hatari...lakini ha semi kwanini alishindwa kudumu ktk mahusiano yota hayo, ni kwamba yeye ndiye mwenye kasoro
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…