Straika mpya wa Azam Fc, Alassane Diao

Straika mpya wa Azam Fc, Alassane Diao

Greatest Of All Time

JF-Expert Member
Joined
Jan 1, 2017
Posts
23,620
Reaction score
52,790
Unaambiwa jamaa ni Didier Drogba mtupu, hakabiki wala hazuiliki. Ndiyo, ni straika mpya wa Azam Fc aitwaye Alassane Diao ambaye ni kipande cha mtu. Mabeki wa NBC PL hasa type ya akina Dickson Job watateseka sana.

Ukimuangalia unamfananisha straika Diao na wajihi wa mchezaji gani?

5B10E69E-FF9F-44EC-9F13-6576C6EEB237.jpeg
 
Unaambiwa jamaa ni Didier Drogba mtupu, hakabiki wala hazuiliki. Ndiyo, ni straika mpya wa Azam Fc aitwaye Alassane Diao ambaye ni kipande cha mtu. Mabeki wa NBC PL hasa type ya akina Dickson Job watateseka sana.

Ukimuangalia unamfananisha straika Diao na wajihi wa mchezaji gani?

View attachment 2680193
beki kama aina ya inonga zitapata shida sana
 
Back
Top Bottom