Greatest Of All Time
JF-Expert Member
- Jan 1, 2017
- 23,620
- 52,790
Unaambiwa jamaa ni Didier Drogba mtupu, hakabiki wala hazuiliki. Ndiyo, ni straika mpya wa Azam Fc aitwaye Alassane Diao ambaye ni kipande cha mtu. Mabeki wa NBC PL hasa type ya akina Dickson Job watateseka sana.
Ukimuangalia unamfananisha straika Diao na wajihi wa mchezaji gani?
Ukimuangalia unamfananisha straika Diao na wajihi wa mchezaji gani?