Tetesi: Straika mpya Yanga aibukia mazoezini, muda wowote mambo hadharani

Tetesi: Straika mpya Yanga aibukia mazoezini, muda wowote mambo hadharani

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
2,060
Reaction score
5,648
Mshambuliaji raia wa Uganda, Bayo Aziz Fahad ambaye Mwananchi iliripoti tetesi zake za kusajiliwa na Klabu ya Yanga, hatimaye ameonekana katika mazoezi ya timu hiyo iliyoyafanya jana Avic Town jijini Dar es Salaam.

Endapo atasajiliwa, itakuwa ni miongoni mwa mikakati ya Yanga kuimarisha safu yake ya ushambuliaji katika dirisha dogo la usajili litakalofunguliwa Desemba 15 mwaka huu na kufungwa Januari 15, 2025.
1732189167489.png
 
Mara hii Dube mnamuonesha njia atoke?

Mzize si mlikataa kumuuza?
Ili fahadi asajiliwe lazima Pro mmoja atolewe ili ampishe,!!!!!! dube atatusamehe,,,,hajadeliver tulichotarajia,,,, Naamini baleke akipewa some minutes ana kitu ,,,,hata asipokuwa regula stater ni sawa tu ,,, ! Mzinze ikija ofa nzuri wapokee, atatafute malisho pengine ,,,, ! Kwa alipofikia sioni uwezo wake ukiongezeka !
 
Karibu striker wa mabao! Ila kwangu mimi replacement ya Aucho ingekuwa priority number 1. Aucho inabidi aanze kupumzishwa asicheze kila mechi, anaelekea kuchoka!
 
Hata mkisajili wachawi na majini bila kudungwa yale masindano yenu , mwaka huu hamtobowi.
"Simba Bingwa"
 
Mshambuliaji raia wa Uganda, Bayo Aziz Fahad ambaye Mwananchi iliripoti tetesi zake za kusajiliwa na Klabu ya Yanga, hatimaye ameonekana katika mazoezi ya timu hiyo iliyoyafanya jana Avic Town jijini Dar es Salaam.

Endapo atasajiliwa, itakuwa ni miongoni mwa mikakati ya Yanga kuimarisha safu yake ya ushambuliaji katika dirisha dogo la usajili litakalofunguliwa Desemba 15 mwaka huu na kufungwa Januari 15, 2025.
Mmemaliza kulipa madeni?!
 
OKRA MMESHAMLIPA? LIPENI KWANZA MADENI? KWANINI MNATAKA KULIMBIKIZA MADENI?

STRAIKA GANI HUYU?

HANA TIMU.V

HANA PA KULALA CHOKORAA A.K.A MTOTO WA MITAANI.

STRAIKA MSIMU MZIMA ANA BAO 1 TU TENA LA PENATI ALIYOACHIWA NA MPIGA PENATI WA TIMU BAADA YA KUPATA UKIMWI NA KIFADURO.

ASANTENI UTO.
 
Kama kawaida "Age go" kwenye group stage CL kila mtu atakimbia na kuni zake..wait
 
Sisi ndiyo Simba SC AKA;

1. Makolokolo SC.
2. Mbumbumbu SC.
3. Mipang'ang'a SC.
4. Malalamiko (Lialia) SC.
5. Makelele SC.
6. Madunduka SC.
7. Manyaunyau (mapaka) SC.
8. Mwakarobo SC.
9. Mikia SC.
10. Miso Misonda SC.
11. Manyang'au SC.
12. Mazumbukuku SC.
13. Mazombi SC.
14. Kinyume nyume SC.
15. Ngada SC.
16. Kolowizard SC.
17. Zuwena SC.
18. Bebwabebwa (Mbeleko) SC.
19. Panya roads SC.
20. Kikanuni SC.
21. Kufa Kiume SC.
22. Ubaya ubwege SC.
23. 5imba SC.
24. Visingizio SC (Visababu)
25. Manguruwe SC.
JamiiForums-1769471325.jpeg
 
Back
Top Bottom