Quruxbadan
JF-Expert Member
- Aug 12, 2013
- 232
- 80
Mambo zenu wadau
Nlikua naomba msaada wa kuniguide namna ya kusoma, jee ni topic gani muhimu zaidi ktk masomo ya pcb???
Maana sina dira wala muelekeo + hizi shule zetu za serikali
Shule hainikatishi tamaa bt masomo ndo yananikatisha tamaa
Sina mpango wa kudrop comby
Hapa naona nyota tuu
Mchango wenu utakua appreciated
Nlikua naomba msaada wa kuniguide namna ya kusoma, jee ni topic gani muhimu zaidi ktk masomo ya pcb???
Maana sina dira wala muelekeo + hizi shule zetu za serikali
Shule hainikatishi tamaa bt masomo ndo yananikatisha tamaa
Sina mpango wa kudrop comby
Hapa naona nyota tuu
Mchango wenu utakua appreciated