Arabian queen
JF-Expert Member
- Nov 23, 2016
- 2,557
- 4,824
- Thread starter
-
- #121
pole sn ila[emoji23][emoji23][emoji23]Hahaha nmecheka kwel,ulifanywa kitoweo .walinichangia in a humiliating way
walim wa kiume haswa kwa kuwa kuna tcha mmoja wao yule alikuwa mchepuko wake.
yaan nili ingia ofisin saa 4 nilitoka saa 7
nili lilia kshenz had yule ticha mwenyewe akaanza kuniobea huruma. [emoji23]
yaan inafika stage unalia halaf ukipgwa tena una muangalia tuu anaye kupiga na kutulia
hahahapole sn ila[emoji23][emoji23][emoji23]Hahaha nmecheka kwel,ulifanywa kitoweo .
[emoji23]Unakumbuka enzi za utoto
SHERIA ZETU ZA MPIRA ZA UTOTONI:
1.Mwenye mpira Lazima acheze ata kama hajui mpira
2.Dogo mnene Lazima awe golikipa
3.Mwenye mpira ataamua nan acheze na nan asicheze
4.kama haujashiriki kufuma mpira unaweza ucpate namba
5.Ukichaguliwa mwishon ujue uwezo wako ni mdogo kuliko wote
6.Mwenye mpira akikaclika mpira umeisha
7.Inaruhusiwa kubadili golikipa kama ikitokea penat na baada ya apo ataendelea kudaka yule yule
8.Mechi itaisha pale giza linapoingia
9.wale ambao wamekosa namba kazi yao ni kufata mpira ukitoka
10.yule mtaalam wa soka {KM MIMI } huwa hakoc namba ata cku moja!
Ukiikumbuka lazima utabasam![emoji1][emoji1][emoji1][emoji23]
Utauaaaaa mzee!!Jamaa kaingia Bar;
Jamaa: Muhudumu, nipe kinywaji na mpe kila mtu humu ndani kinywaji, maana wakati napata kinywaji lazima kila mtu apate kinywaji. Haraka sana muhudumu akagawa vinywaji,
Jamaa: Muhudumu nipe supu na kila mtu humu ndani mpe supu maana ninapokunywa supu kila mtu lazima anywe supu. Watu wakapewa supu tena safari hii wakapiga makofi.
Jamaa: Muhudumu nipe bili, na kila mtu humu ndani mpe bili maana wakati nalipa bili yangu kila mtu lazima alipe yake. Zogo lilianzia hapo..
HahahahaaaaaaaaaaaMzungu kaletewa ugali na mlenda ile kuchovya2
mzungu😱oooohoooo inakuja na waya
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] We kiboko yao.Short N fantastic....Wanasemaga eti ukimcheka Mtu unakua Kama yeye
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]*Bakhresa Hahaha Bakhresa* [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
[emoji23][emoji23][emoji3][emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] We kiboko yao.Short N fantastic....
Hahahahahaha[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]*SAHIZI NDO NAANZA KUONA UMUHIMU WA MKE , JANA BAADA YA KUPIKA SI NIKADEKIA MAJI NILIYOOSHEA DAGAA,, SASA CHUMBA KIZIMA KINANUKA KAMA SOKO LA SAMAKI!*
*KUNA MAMA AMEKUJA AMENIULIZA SAMAKI WABICHI WAPO? SIJAMJIBU AMEAMUA KUONDOKA*
[emoji24][emoji24][emoji24]