STRESS FREE: Vichekesho on fleak! Weka na cha kwako hapa tufurahi

STRESS FREE: Vichekesho on fleak! Weka na cha kwako hapa tufurahi

IMG-20170412-WA0000.jpeg
c0ab912f6ec7ded54e5ceeb27931708b.jpg
 
Kulikuwa na semina ya wanawake kuhusu namna ya kuishi kwa upendo katika ndoa.

Mwalimu aliwauliza ni wangapi wanawapenda waume zao? Wote wakanyoosha mikono kama ishara ya kuwa wanawapenda waume zao.

Mwalimu akauliza tena, “Ni lini mara ya mwisho umemwambia mumeo “Nakupenda”?

Majibu yalikuwa kama ifuatavyo:

Wengine wakisema Asubuhi ya leo,Wengine jana,Wengine wiki iliyopitaWengine mwezi uliopitaNa wengine wakasema hawakumbuki!

Mwalimu aliwapa kazi kila mwanasemina achukue simu yake na kumtumia mume wake meseji yenye neno “NAKUPENDA MPENZI”

Baada ya meseji kwenda aliwaamuru kubadilishana simu kila mtu na jirani yake.

Kila mwanasemina aliambiwa kusoma meseji za majibu kwenye simu aliyoshika

Katika majibu hayo, meseji za vichekesho zilikuwa ni nyingi na kweli vichekesho vya ndoa ni nyingi kama ilivyosomwa katika hizo meseji, fuatilia hapa zaidi.

Simu ya 1 – “Samahani, nani mwenzangu”!

Simu ya 2 – “wrong number”!

Simu ya 3 – “samahani, umekosea namba”!

Simu ya 4 – “Si nimekuambia usinitumie messages kwenye namba hii”!

Simu ya 5 – “Mh! leo mvua itanyesha”!

Simu ya 6 – “Nikija tutaongea zaidi”!

Simu ya 7 – “……Imedhibitishwa umepokea Tsh300,000 kutoka kwa ……”!

Simu ya 8 – “Me too”!
Simu ya 9 – “Huu ujumbe ndio ulikuwa unamtumia huyo hawara yako ee, leo utanikoma”!

[emoji28][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hawa machizi wamezidi sasa

kichekesho:

"Machizi wamekaa sehemu mara ghafla ikapita ndege angani. Chizi wa kwanza akasema:ndege ile itakua imembeba raisi. Chizi mwenzie akajibu:hapana imebeba wazungu kama ingembeba raisi tungeona pikipiki zimetangulia mbele…

dah! balaaa!"
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Kulikuwa na semina ya wanawake kuhusu namna ya kuishi kwa upendo katika ndoa.

Mwalimu aliwauliza ni wangapi wanawapenda waume zao? Wote wakanyoosha mikono kama ishara ya kuwa wanawapenda waume zao.

Mwalimu akauliza tena, “Ni lini mara ya mwisho umemwambia mumeo “Nakupenda”?

Majibu yalikuwa kama ifuatavyo:

Wengine wakisema Asubuhi ya leo,Wengine jana,Wengine wiki iliyopitaWengine mwezi uliopitaNa wengine wakasema hawakumbuki!

Mwalimu aliwapa kazi kila mwanasemina achukue simu yake na kumtumia mume wake meseji yenye neno “NAKUPENDA MPENZI”

Baada ya meseji kwenda aliwaamuru kubadilishana simu kila mtu na jirani yake.

Kila mwanasemina aliambiwa kusoma meseji za majibu kwenye simu aliyoshika

Katika majibu hayo, meseji za vichekesho zilikuwa ni nyingi na kweli vichekesho vya ndoa ni nyingi kama ilivyosomwa katika hizo meseji, fuatilia hapa zaidi.

Simu ya 1 – “Samahani, nani mwenzangu”!

Simu ya 2 – “wrong number”!

Simu ya 3 – “samahani, umekosea namba”!

Simu ya 4 – “Si nimekuambia usinitumie messages kwenye namba hii”!

Simu ya 5 – “Mh! leo mvua itanyesha”!

Simu ya 6 – “Nikija tutaongea zaidi”!

Simu ya 7 – “……Imedhibitishwa umepokea Tsh300,000 kutoka kwa ……”!

Simu ya 8 – “Me too”!
Simu ya 9 – “Huu ujumbe ndio ulikuwa unamtumia huyo hawara yako ee, leo utanikoma”!

[emoji28][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji28] [emoji28] [emoji28]
mi ndio nlikuwa huyo jamaa namba 9
 
KAMA WEWE NDIO BABA AU MAMA WA NYUMBA HII UTAMFANYA NINI HOUSE BOY?
Bakari ni house boy mara nyingi huiba wine ya boss wake na kisha kuongeza maji kwenye chupa ili boss asigundue. Mara kadhaa boss alihisi ladha tofauti anapokunywa wine hivyo kuhisi kuna mchezo mchafu alihisi tu Bakari anahusika. Ilikua ni bahati tu alimvizia na kumbamba Bakari akichakachua wine, kwa kuwa mkewe alikua anamtetea Bakari, ili kumthibitishia mkewe kuwa Bakari ndo culprit,
boss alianza kwa kumuuliza Bakari maswali. Siku hiyo Bakari alikua jikoni,boss na mkewe walikua sebuleni.

Boss:- Bakariiii!
Bakari:- Naam baba!
Boss:- Nani anakunywa wine yangu?

Bakari:- Kimyaaaa hajibu kitu! Boss:- Bakariiiii !
Bakari:- naam baba! Boss:- nauliza nani anakunywa wine yangu halafu anajazia majiii!
Bakari:- kimyaaaaa!

Boss akaamua amfuate hukohuko jikoni.
Boss: Kwanini nikikuita unaitikia, nikikuuliza unanyamaza?
Bakari: Baba huku jikoni ndo kulivyo, unasikia jina tu likiitwa lakini maneno menginehusikii, na kama huamini baki jikoni mi niende sebuleni.

Bakari akaenda sebuleni akaanza kuita.
Bakari:Babaa!
Boss: Naam Bakari!
Bakari: Saa sita usiku huwa unaenda kufanya nini chumba cha house girl?
Boss:- kimyaaaa!
Bakari:- Baba babaa!
Boss:- Ndio Bakari!
Bakari:- Nauliza hivii, chumbani kwa house girl saa sita za usiku huwa wafuata nini?
Boss:- kimyaaaaaaa!

Boss akatoka nje: Bakari huku jikoni ni kweli husikii kitu zaidi ya jina!.
Mama akasema msinizingue nyie…Mbona siwaelewi..
Bakar: mama kama uamini na ww nenda uone.

Mama akaenda jikoni..
Bakari: akaita mamaa
Mama : bee bakari
Bakari: eti hiyo mimba niya baba au yangu.?
Mama kimya
Bakari; mama nakauliza tena hiyo mimba niyababa au yangu.

Mama akatoka aisee kweli humu unasikia jina tu…..[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]

[emoji38]
[emoji15] [emoji15] [emoji15]
hapo kwa boss anapo kaa Baker , ni brothel au nyumba ya kuish tu? [emoji28]
 
hiyo nyumba haina tofaut na ambiance [emoji28], baba na housgirl mama na boyfriend, wanakunywa ma wayne, ukiwa ndani huskii

inakila haja ya kuitwa night club, ningekuwa huyo baba anachinjwa mtu hapo
Hahahahaha[emoji3][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]uchinje tena jamani wakat haki sawa apo[emoji28][emoji13]
 
[emoji13][emoji13]Utakua unaonea sasa apo,ww je uchukuliwe hatua gani[emoji23][emoji3][emoji3]
[emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28]
ulisha wahi ona wap baba anakosea!!?
sawa sawa na enzi zetu hom, mama alikuwa ukivunja vyombo vyake ana mind kishenz ila sku akivunja yeye anajifanya kama hajaona hivi!!
mkubwa hakosei![emoji28]
 
[emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28]
ulisha wahi ona wap baba anakosea!!?
sawa sawa na enzi zetu hom, mama alikuwa ukivunja vyombo vyake ana mind kishenz ila sku akivunja yeye anajifanya kama hajaona hivi!!
mkuvwa hakosei![emoji28]
[emoji47][emoji47]
 
Kule Marekani mume anapoenda kulala anamwambia mke wake “goodnight baby”

Kule Uingereza mume anapoenda kulala humtakia mke wake usiku mwema kwa kusema “sweet dreams honey”

Kule Australia mume anapoenda kulala humtakia mke wake usiku mwema kwa kusema “goodnight my love”

Huku kwetu Tanzania mume anapoenda kulala humuuliza mke wake “umefunga milango yote na madirisha vizuri?”[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mwanamke aliingia kwnye teksi akitaka huduma akiwa uchi kama alivyozaliwa!

Dereva akawa anamshangaa,

Mwanamke: hujawahi kuona uchi au!

Dereva: Ninachoshangaa si uchi wako,najiuliza pesa ya kunilipa utakuwa umeiweka wapi?[emoji28][emoji23]
 
Back
Top Bottom