Kwenye sufuria mapupu hayo firigisi zimetoka wapi hapoSio firigisi hizo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hata mm mambo ya mvurugiko wa tumbo huwa sijali kuna siku nipo huko ndaniii nikakutana nayo nipo na dada angu nisiende kukaa nikaagiza ya buku hiyo sehemu ney acha tu mazingira yake dada angu aliniambia nakuacha unachokitafuta utakipata sijui tumbo sijui ninii nikamwambia niacheee nikajilia mapupu yangu na chapati zangu na soda nimetoka hapo roho ina amani kula kitu inapenda
Sawa mkuu wanaonijua hawabishi endelea kubisha muulize sakayo anayenijuaMaandishi pia huonyesha mofoloji ya mtu. Katka ubonge haupo.
MmmmhKwenye sufuria mapupu hayo firigisi zimetoka wapi hapo
Salama salimini hofu kwako karibu sana uketijaman salama..!! humu kijiweni
Hiyo kitu acha mwifwa [emoji4][emoji4][emoji39][emoji39][emoji39] [emoji39] [emoji39] [emoji39] [emoji39] [emoji39] [emoji39] [emoji39] [emoji39]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Me silali leo nakesha na Ney mpaka uzi wa usiku wa manane ongeeni tu yaan nipo
Salama dingimtoto ebu geuka basi tukusalimie vizurijaman salama..!! humu kijiweni
Chapati kama karatasi, dada mi nafukia tu sijali macho ya watuHapana kaka chapati 5 wangenishangaa ujue
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1] ujue sasa mwifwa kama ndio shunie
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Si umwambie tu kama yanaitwa ma...mbu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
aisee me niko bomba comrade habari ya wewe?Salama salimini hofu kwako karibu sana uketi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] unajifanya umevaa miwani ya mbao mazingira yale hapana jamaan[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hayo mazingira ndio huwa kizunguzungu, lakini mie nikiwa na hamu zangu wala sijali nakaa nakula roho yangu burudani, yaan hata sitakagi kuangalia pilipili inapotolewa maana waweza pata mvurugiko ghafla [emoji23][emoji23][emoji23],ni kujifanya huoni tuu.
Silali yaan wananilazimisha nilale jamaan[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Naona umegoma
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Usiombe upatwe na tumbo la mvurugiko usiku utaniambia....[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]
We wakiume kaka ujueChapati kama karatasi, dada mi nafukia tu sijali macho ya watu
Upo vizuri hutaki kujiathiri kisaikolojia[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hayo mazingira ndio huwa kizunguzungu, lakini mie nikiwa na hamu zangu wala sijali nakaa nakula roho yangu burudani, yaan hata sitakagi kuangalia pilipili inapotolewa maana waweza pata mvurugiko ghafla [emoji23][emoji23][emoji23],ni kujifanya huoni tuu.
haahahah..vuta subir tu nitageuka tuSalama dingimtoto ebu geuka basi tukusalimie vizuri
Nayaonaga maeneo ya kariakoo karibu na Msimbazi Police station, watu huwa wanakula nauli balaaa[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]Hiyo kitu acha mwifwa [emoji4][emoji4][emoji39][emoji39]
Jambo la kheri mpenzi, nimefurah leo kujumuika nanyiMzima sweetheart...