Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naniii huyo yaan kutoingia hizi siku nimeshakuwa mgeni jf woiiiiAlishawahi kutuhumiwa humu kuwa ni tapeli huko fesibuku kwa jina lile lile.
Kwakweli sijauona cuzoo ujue nina masiku kadhaa sijaingiaUle wa Ana Maria
Linamo ndio huku??Mkuje sasa tupige soga mnaleta vurugu sana kwenye madarasa ya watu nimeamua kufungua darasa hapa.
Cc.Shunie
Cc.Carba
Cc.Sakayo
Cc.Emmyta
Cc.Ukhuty
Cc.Numbisa
Cc.Youngblood
Cc.Sergio5
Cc.Baily
Cc.Ndula87
Cc.Neybright
Na wengine wote mnaopenda story mvurugano.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Mi nataka kurudi niwe mimba kabisaaa
Mkuu jifungie ndani mwako ujitukaneee weeeh mpaka hamu ikuishewengine stress zetu haziondoki hadi tuporomoshe matusi, itakuwaje sasa hapa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mshana Jr halafu mmeitwa huko[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Hilo cheko veepe[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]
Sijamuona siku nyingi zimepita, Mungu amuepushe na Nissan nyeupeHivi ukhuty alienda wapi
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Mi nataka kurudi niwe mimba kabisaaa
Nilijua nitakuwa mdogo kuliko wote kumbe kuna mtu yuko mbioni kuwa mimba kabisa![emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji3]Hilo cheko veepe
Ha haa haaa Aisee sikuliona povu la mchomvu!!Naona Mchomvu katokwa na povu balaaa[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Mgeni wa jana na uzi umefungiwa aliharibu niniiMgeni mmoja alikuja jana
UmeonaeeMjini kila mtu baby [emoji41][emoji41][emoji41]