Kabisa mydear, karibu sana.Ahsante sana my dear. Inanibidi nitafute siku special ya kupata hilo somo.
Yuko wapi jamaniSakayo ukuje slim kashakuja
Wow ntapikaKuzipika hazina ugumu waweza zichemsha na maji kidogo na mafuta na chumvi ukazipika kama wali au waweza zichemsha na maji mengi zikiisha kuiva unamwaga maji then unazikaanga na mafuta kidogo japo ya kumwaga maji huwa naona kama virutubisho vinapotea sasa hapo utaangalia wataka kula na kitu gani kama ni roast beef, au nyama ya kusaga uunge vzr umwagie mchanganyiko wako kwenye tambi hiyo ni juu yako mpenzi.
Umeonaeee mie huwa nawashangaa sana wanapovitumia vile vijiti Ila tukipata mwanga kidogo itatuweka sehemu fulani sio sawa na kuwa washangaaji.Tupo wengi ujue tunaotamani kwenye hilo darasa name niwepo
JamaaniJikoholeshe tu.
ShkamoUalimu unauweza? Mana na Mimi kuna kitu nataka nikuombe unifundishe?
Nilihisi hivyo mshikaji wangu,Kweli mshkaji wangu ameamua kabisa unafkili nimemzuia au
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ualimu unauweza? Mana na Mimi kuna kitu nataka nikuombe unifundishe?
Mcute wangu kala??Mmh jaman
Kweli kabisa my dear.Kabisa mydear, karibu sana.
Muosha naniliu kutusaidia sana kujifunza upishi mbalimbali [emoji23][emoji23][emoji23]
Weeeeh siku ya kwanza kupika kacholi basi zinatawanyika tu kama chura, jamani nilicheka hiyo siku!!!Hahaaaa. Kweli kabisa dada ila inapobidi unajing'ang'aniza hivyo hivyo tuu.
Huo upishi mwajifunzia wapi?Kabisa mydear, karibu sana.
Muosha naniliu kutusaidia sana kujifunza upishi mbalimbali [emoji23][emoji23][emoji23]
Ni enjoy wakati wa kula kama wachinaUnataka ugundue nini labda!!!
Sawa nitamuonya dearSafi tu
Haya msalimie jirani yako mwambie apunguze michepuko
Haina shida mpenzi karibu sanaHili somo ujue utanifundisha
Hahaaa. Ukajuta kuharibu viazi vyako. Pole sana dada ila ukipika mara kwa mara unazowea ujue.Weeeeh siku ya kwanza kupika kacholi basi zinatawanyika tu kama chura, jamani nilicheka hiyo siku!!!
Nataka hiyo ya kula kwa kijiti tu mpenziHaina shida mpenzi karibu sana
Sijawasiliana nae kabisa yaanMcute wangu kala??
Huwa napenda na nyama za kusaga.Kuzipika hazina ugumu waweza zichemsha na maji kidogo na mafuta na chumvi ukazipika kama wali au waweza zichemsha na maji mengi zikiisha kuiva unamwaga maji then unazikaanga na mafuta kidogo japo ya kumwaga maji huwa naona kama virutubisho vinapotea sasa hapo utaangalia wataka kula na kitu gani kama ni roast beef, au nyama ya kusaga uunge vzr umwagie mchanganyiko wako kwenye tambi hiyo ni juu yako mpenzi.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] naanzaje kumzuia jamanNilihisi hivyo mshikaji wangu,
Kama ameamua mwenyewe sio mbaya