Ni kweli mambo ya vilimo na hizi mvua [emoji28][emoji28] ndio wakati wakeTupo mamy jaman labda tunapishana tu
Kweli kabisa vilimo vimepamba motoNi kweli mambo ya vilimo na hizi mvua [emoji28][emoji28] ndio wakati wake
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]Kweli kabisa vilimo vimepamba moto
MmmhhhHamna naona sikuhizi majukumu yamezidi na Tanesco wanafanya yao sana[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Bila shaka na jina lako litakuwa na maana fulanikwanini umejiita LINAMO
muulize Madame BBila shaka na jina lako litakuwa na maana fulani
Ebu funguka
Wewe ukisema ndio itapendeza zaidi...muulize Madame B
Jina lake linasadifu ndio madame b mbona alishazungumzia kuhusu ze duduBila shaka na jina lako litakuwa na maana fulani
Ebu funguka
muulize Madame B
Kheee ikawaje sasaAliifungia kabisa[emoji23] [emoji23]
He he vya mazao jaman ulifikili vilimo vipi tenaCuzoo mnazungumzia vilimo vipi[emoji38] [emoji38] [emoji38]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mwehu wwVya watu[emoji23] [emoji23]
Maana huku mjini hakuna mashamba wanalimana tu
Kama nakuona na kitorchNikawa natumia S. L. P