dingihimself
JF-Expert Member
- Jan 9, 2016
- 9,702
- 20,134
[emoji3] [emoji3] mzee wa kuboldStress free zone
Sent from my SM-G7102 using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji3] [emoji3] mzee wa kuboldStress free zone
Ndio mkuuUnataka uelewe ili ukamlime mtu [emoji3] [emoji3]
That is my Identity.
Mwifwa[emoji112][emoji112]carba.
Ukiwa unakuja huku tuwe tunaongozana, dunia imebadilika, Nissan zimetamalaki!Nipo
Usijali nitakuwa nakupitia, unazijua ngumi au ndo utakimbia uniacheUkiwa unakuja huku tuwe tunaongozana, dunia imebadilika, Nissan zimetamalaki!
Very easyNdio mkuu
Mjini hatutumii nguvu nyingi kula.
Ngumi best sijui, na huu wembamba ndio kabisa! Ila Mungu hakunyimi vyote, mbio ninazo my dear!Usijali nitakuwa nakupitia, unazijua ngumi au ndo utakimbia uniache
[emoji113] [emoji113] [emoji113] [emoji113]Mwifwa[emoji112][emoji112]
[emoji134] [emoji134] [emoji134] [emoji134]Very easy
Andaa shamba, lima shamba panda mbegu, palilia kisha subiria kuvuna
Nyagei
HahahahNgumi best sijui, na huu wembamba ndio kabisa! Ila Mungu hakunyimi vyote, mbio ninazo my dear!
Usiongee kwa sauti! Utakosa mume!Hahahah
Mie mbiio sijui ila mateke nayarusha balaa!!!
HahaUsiongee kwa sauti! Utakosa mume!
si huwa unaziona nyuzi za wanaume wa Dar, wanasema ni wa laini, eti wanashiba soseji 2 tu, lunch zao chips yai, waoga sana! Sa kwa hayo mateke yako, utwakimbiza!Haha
Mume tena???? Humu kupata mume ni changamoto, usijali mateke yangu hayana madhara kwa niwapendao
Hahahasi huwa unaziona nyuzi za wanaume wa Dar, wanasema ni wa laini, eti wanashiba soseji 2 tu, lunch zao chips yai, waoga sana! Sa kwa hayo mateke yako, utwakimbiza!
Hapo sawa. Nina mpango wa kuahmia Dar, sa sijui itakuwa kweli ile wahenga wanasema "ukienda wa wenye chingo, vunja lako jicho!"Hahaha
Sitaki uchonganishi na kaka zangu wa dar ujue!!!! Wasiniogope kabisaa
Wewe nakuaminia, najua utabeba mahindi ya kutosha!!! Halafu hivyo vimisemo vyako ujue sina kamusiHapo sawa. Nina mpango wa kuahmia Dar, sa sijui itakuwa kweli ile wahenga wanasema "ukienda wa wenye chingo, vunja lako jicho!"
Wahenga hao, utakuwa hukuwa na Mwl mzuri wa Kiswahili, enzi zile darasa la 6C, Mabondeni Pri School!Wewe nakuaminia, najua utabeba mahindi ya kutosha!!! Halafu hivyo vimisemo vyako ujue sina kamusi