Unajua kuna majirani wa KUS, KAS, MASH na MAGH! afu kuna majirani wa nyumbani na wa ofisini!Ahahahah sio unaa jaman nauliza tu mimi nijue
We ingia tu utakutana nayo yaliyomoJamani huku mwajadili nini nami nijisajili...
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Wewe fuatlia mjadala utaelewa mbele
Haaaah. Ukiamua. Hakuna gumu chini ya jua!Ahahahh naanzaje mie kukuondoa jirani yake mtu
Me zaidi babe [emoji182][emoji182][emoji182]Wazima humu, nimewamis sana
Mungu ni mwema. Wazima sana.Wazima humu, nimewamis sana
Ebu niambie wewe sasa ni jirani wa vipi ujue nawaandika hapa majirani zake ili nisiwasahauUnajua kuna majirani wa KUS, KAS, MASH na MAGH! afu kuna majirani wa nyumbani na wa ofisini!
Mtu na babe wake!Me zaidi babe [emoji182][emoji182][emoji182]
Ahahahhh siwezi mie najua mmetoka wapi na jirani yakoHaaaah. Ukiamua. Hakuna gumu chini ya jua!
Ahahahah sio unaa jaman nauliza tu mimi nijue
Ahahahhh nilijua tu mtatokea watu kama nyieMtu na babe wake!
Poa mondray za wewe apoChunie mambo..
Kiukweli tumetoka mbali sana. Yani mbali. Tena sana!Ahahahhh siwezi mie najua mmetoka wapi na jirani yako
Najua toka ARKiukweli tumetoka mbali sana. Yani mbali. Tena sana!
Nimecheka mpk nimepitilizwa na mwendokasi!Ahahahhh nilijua tu mtatokea watu kama nyie
Jamani kwani kuna ubaya?Ahahahhh nilijua tu mtatokea watu kama nyie