Nakumbuka kuna siku ulisema mbona me sijawahi pata pm ya mwanamke nyie mnaolalamika mnatongozwa pm na wanawake kuna thread moja mwanaume alikuwa analalamika anatongozwa sana pm na wanawakeAcha kidogo na mimi niringe, sio kila siku wengine tu
WoyooooooooMwenyewe simuelewi mwenye mdogo hakosi shemeji au hakutaki uwe shemeji yake
Jirani huo msamiati(mkulano) uko kwenye silabasi za kizazi kipyaEeeh
Mwenyewe nashangaa mjue, lini mmeanza huo mkulano jamani Shunie
Kweli jaman gudume kaitumia sana hiyo avatarHahahahahhaaaa
Mbona huonekani kule wa mwisho ndo mshindi !Kumbuka bana jirani
Oyoooo oyooooo oyooooooSawa
Nimecheka kwa nguvu yan naonekana chizi mie [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Eeeh
Mwenyewe nashangaa mjue, lini mmeanza huo mkulano jamani Shunie
Yupo ila hatumii tena hiyo avatargudume yuko wapi kwani!
AhahahhhhhHabari ndiyo hiyo,tena nakuomba unisaidie kulinda wezi wasije wakaiba.
SijuiNikumbushe basi
Huo uzi sijawahi uelewa kabisaMbona huonekani kule wa mwisho ndo mshindi !
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] yani kama zali la mentali.Nacheka sana [emoji3][emoji3][emoji3] youngblood mwenyewe leo atakuwa anashangaa tu anajionea mashikolo mageni
WoyooooooooooHabari ndiyo hiyo,tena nakuomba unisaidie kulinda wezi wasije wakaiba.
Ahahahhh nalifahamu hilo[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] yani kama zali la mentali.
Kama nakuona jamanWoyoooooooooo
ShunieAhahahahhh nacheka sana hakiii
Atakuwa bado haaminiMwenyewe simuelewi mwenye mdogo hakosi shemeji au hakutaki uwe shemeji yake
Hata sijuiNdio nini jirani...
Utanisoma tu hivi unaanzaje kutonisoma mieShunie
Ujue sikusomiiiii