Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jirani unatakiwa unipe somo la kupangilia Bajeti kwa kutumia Ankara maana nimechoka kula nauli kila sikuHaha
Sawa
Basi wewe kula nauli kichuo chuo jiraniHayo mambo ya secondary siyawezi mie mhenga ujue
AbeehJamani wazima humu, mkimuona shunie mwambieni namtafuta
Jambo veveHayo mambo ya secondary siyawezi mie mhenga ujue
Shikamoo SlimNawasalimu na pia nawapa pole kwa uchovu wa harakati za ujenzi wa Taifa!
Sakayo ulimficha wapi Baba D?Shem..
Baba paroko yuko wapi?
Leo ni leo tuHumu leo ni vipi?
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15]Abeeh
Nipo hapa babe akee
ShunieJamani wazima humu, mkimuona shunie mwambieni namtafuta
Yupo bhana...!Sakayo ulimficha wapi Baba D?
Tayari jamaniHivi yale maji niliyokutengea hadi yapoe?
JiraniHumu leo ni vipi?
MmmmhhhShunie
Mumeo huyoooo
HahaJirani unatakiwa unipe somo la kupangilia Bajeti kwa kutumia Ankara maana nimechoka kula nauli kila siku
Veep na hiyo mimacho[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15]
Asante JiraniNawasalimu na pia nawapa pole kwa uchovu wa harakati za ujenzi wa Taifa!
Nataka nikasugue mgongo bhana..[emoji11]Tayari jamani
Bila shaka huo ubusy umekupatia kiwanda kidogoYupo bhana...!
Sema tuu majukumu yanambana sasa hivi...
Thats why tunaingia kwa kuunga unga..?