Ahahahhh sio vizuri ujue unavyonifanyiaHahaaaa
Shunie bhana
Kwa sababu imepigwa sehemu tofauti na kwa mtindo tofautiYani nikisikia Mapupu napata picha tofauti sijui kwanini.
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Heee
Hata mie nimefunga
Ahahahhh sakayo huyu si kuna siku tulimuona anajibebisha huyuMmmmhhh
Haya bana, ngoja nipambane na gundu yangu ivo ivo
Jirani [emoji134] [emoji134] [emoji134]Tulia
Yuko kwa joto
Eeeeh!Hahaha
Wacha nikae kimya, mdogo wangu kaleta mume
EwaaaaAhsante. Ukisema natii bila shuruti. Nimetulia.
ShemAhahahhh
[emoji3] [emoji3] [emoji3] mimi na weupe wapi na wapi, usiogope yale mambo ya Camera 360!...mimi mweusi kama unavyomuona kambaleEwaaaaa halaf shem wako anaonekana white flani woiiii nishazoea vyeusi mangala mie vyeupe na me tofauti shunie weupe bae nae mweupe wapi na wapi
[emoji39] [emoji39] [emoji39] [emoji39] [emoji39] [emoji39] [emoji39] [emoji39] [emoji39] [emoji39] [emoji39] [emoji39] [emoji39] [emoji39] [emoji39] [emoji39] [emoji39] [emoji39] [emoji39] [emoji47] [emoji39] [emoji39] [emoji39] [emoji39] [emoji39] [emoji39] [emoji39] [emoji39] [emoji39] [emoji39]Babe kitu hiko apo
Babe jaman nikupeleke kitandani ukausake usingizi[emoji3] [emoji3] jirani utanifanya niwe nakaa karibu na kamusi ya TUKI, misamiati yako inanitoa nishai
Nmefurahi kumleta shemelaaaaaaAhahahhh sio vizuri ujue unavyonifanyia
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] aiseeShunie namuaminia sana! Aliwahi kumuambia mtu humu, yeye DSM longtime kitambo, tangu enzi hizo Sinza ni mbuga na kuna Simba wanakula watu!
Wewe hapoPunguzaaaa
Ana bebii wake huyooooAhahahhh sakayo huyu si kuna siku tulimuona anajibebisha huyu
WoyoooooooooooooHaaaah. Haaah. Haaaah. Ngoja na Mimi nikampe akili zangu dadako afu nione nitabaki na ladha gani!
Unamaanisha mapunye au mapu..balls? [emoji85][emoji85]Usiniambie kwahiyo tunakula mapu.... ya ngombe huu uroho huu utanitokea puani
NaaaammmmmJirani [emoji134] [emoji134] [emoji134]