Sakayo
JF-Expert Member
- Sep 10, 2015
- 56,368
- 161,448
Punguzaaaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Punguzaaaa
Haya Shem[emoji3] [emoji3] [emoji3] ile nimeshaiuza siku nyingi, shunie amenikataza nisivae tai.
Ohoo, ule ulikuwa ni mtego, angekubali tu basi hata likes humu asingezipata.Hapana we ni muhandsome ulimwambia Mwifwa umtumie pic pm akiiweka pm atazikimbia yeye yaan mm muhandsome sipatani nae jaman kila mtu anamtaka mambo ya kuanza kugombana na wadada wenzio kwa ajili ya bae muhandsome hapana jamaan huku unafikilia homa ya ini
[emoji3] [emoji3] [emoji3]Najua babe
Hapa sina mbavu.... Nlitaka nkutext nikaogopa bwashee asijesoma
HahaHivi umemaanisha Maji ya kunywa au ya kuoga? Kama ya kuoga usisahau iriki na amdallahsin!
Ahahahhh basi ninavyoHuwezi kukosa vyote
Shunie yupo chumbaniAngalia shunie asiniangalie kwanza
Me sina jamaniLabda Shunie mkuu
Bora kufwa na utamu wanguWachoyo ninyi.....
Kama wewe ulisoma mavoco ya enzi za mwalimu basi ya sasa hayawezi kupanda kwa oblongata yako[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2][emoji3] [emoji3] jirani utanifanya niwe nakaa karibu na kamusi ya TUKI, misamiati yako inanitoa nishai
Hayo siwezi,kula kabisa, sasa mtu akituuliza tutamwambia tunakula nini.[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] huyu inabidi siku niende nae kula mapupu
Usiniambie kwahiyo tunakula mapu.... ya ngombe huu uroho huu utanitokea puaniNdio hayo hayo Shunie[emoji2] [emoji3]
Yeah. Huo ndio ukweli. Baba Mungu akikunyima nyuma anakupa mbela. Akikunyima chini, anakupa juu!Ahahahhh basi ninavyo
Ahahahhh[emoji3] [emoji3] [emoji3] shemeji.
HahahaHahahaa...
Sikuwezi mama Naveen
Ahsante. Ukisema natii bila shuruti. Nimetulia.Tulia
Yuko kwa joto
[emoji7] [emoji7] [emoji7] [emoji7] huyo kijana mwaka huu atajitoa roho wallah[emoji8][emoji8][emoji8][emoji8][emoji8]