Ahahahhh tuma bana nipo tu hapa nimejilazaAkuuuuuu
Napenda kutuma ila bwashee nampenda zaidi
Sorry. Keyboard ziliteleza! Si unajua tena zile Mishe zangu. Nimefuta kauli!Jamaan slim usinifanyie hivyo
MmmhhhBora kufwa na utamu wangu
Huwezi kufa akiiiKwa ile voice yako sasa!
Ujue nitakufa mie
Hakuna kitu kama hicho, shunie babe hana active site inayofit kwako.Hahahaaaaaa.
Tugombanie active site tu..
Ukivai tai wanakwiba uvae tshirt tu[emoji3] [emoji3] [emoji3] ile nimeshaiuza siku nyingi, shunie amenikataza nisivae tai.
He heHivi umemaanisha Maji ya kunywa au ya kuoga? Kama ya kuoga usisahau iriki na amdallahsin!
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Utamuacha huko maana atagoma kuondoka[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]
Leo unachekacheka tuuuu[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]Usiniambie kwahiyo tunakula mapu.... ya ngombe huu uroho huu utanitokea puani
AhahahhhhYani nikisikia Mapupu napata picha tofauti sijui kwanini.
Utasutwa na matarumbeta shauri yakoAbeeeeeee
Sitaki ujueAhahahhh tuma bana nipo tu hapa nimejilaza
Sa hii shangilia yako hii, vikigeuka uwe karibu kuyasawazisha!Woyooooooooooooo
Umekuwa mpooooleeeeeMmmhhh
Haya
TehUmeanza
WooooiUkivai tai wanakwiba uvae tshirt tu
Khaaaa umekuwa young tena nikuangalie jamaniAngalia shunie asiniangalie kwanza
Samahani ShemUtasutwa na matarumbeta shauri yako
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]Ahahahhh sakayo huyu si kuna siku tulimuona anajibebisha huyu