Yani mchana katika pitapita zangu kule MMU nikakutana na uzi kuna mtu anadai amedata kwa mtoto wa kitanga,ilibaki kidogo tu nichafue hali ya hewa nilidhani amekuzimika wewe.
Ahahhaha ulikuwa unamuhusu nani siku hizi mmu me sio sanaNdo ukataka niuzia kesi eeh
Tafuta mtaani kuna vibibi kizee vingi tu,vinataka watu waa kuwazimia taa na kushusha net muda wa kulala.Bora umeliona hilo
Sasa fanya kampango jirani huu upweke kama wa watu wa kale sio mzuri
MmmhhhWe tulia tu
Ahahhahah sakayo ebu njo umueleweshe shemeji yakoHebu fafanua hapo kwwbye kiben10
Kwenye uzi wa fiesta ukaniambia upo leaders nikacheka sana kuwa ninavyokufikilia na ulivyoniambia tofautiSiku gani tena babe
Shunie hurumia mbavu zanguAhahahahahahha na kukandia kote kule Ben 10 nitacheka kufwaa
Najua itakuwa safi tu, siku zote ujuzi huwa haupotei.Yaan sijawahigi kupika ila kuna siku nipo tanga kwenye msiba zilichinjwa ngombe tukaambiwa tupike supu ya utumbo na hiyo ebu nitajiaribu tena
Mungu anakuona[emoji3] [emoji3] [emoji3] yani acha tu.
[emoji3] [emoji3] [emoji3]Kalale usije ukatudondokea
Ahahhahah upo kwa Dada eenh msalimie shemejiNasubiri nilale kwenye kochi
HahaAhahhaha ulikuwa unamuhusu nani siku hizi mmu me sio sana
Na hii damu yote yenye nyuzi joto za Farenheit 212° kwa kibibi mbona ni kujitesa tuTafuta mtaani kuna vibibi kizee vingi tu,vinataka watu waa kuwazimia taa na kushusha net muda wa kulala.
Ahahahhh nazidi kuhogoaOgoha dunia
Hahahaaaaaaaaaaa
SawaMmmhhh
Sawa tu
Lakini muhusika alikuja auHaha
Hauna jina
Ila huyu shunie wangu muacheni atulie sasa amekutana na mengi sana humu JF[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]
Shunie aliwahi kuzimikiwa na muosha masufuria enzi zile hawajazoeana, kuna siku tukalifukua hilo kaburi muosha masufuria akawa mdogo kama kidonge cha piriton
ShemejiAhahhahah sakayo ebu njo umueleweshe shemeji yako
Sanaaaa babeIla huyu shunie wangu muacheni atulie sasa amekutana na mengi sana humu JF