Stress Free Zone

Stress Free Zone

Sijaelewa Jirani

Wapi?
Umeona nilivyoingiza hilo neno.

Sasa na wewe unaweza kufanya hivyo kurekebisha post niliyoikosea ukiwa unani quote

Kabla hujaanza kuandika huwa kuna alama ya kalamu, ibonyeze halafu utaanza kuingiza maneno kwenye post yangu.
 
Umeona nilivyoingiza hilo neno.

Sasa na wewe unaweza kufanya hivyo kurekebisha post niliyoikosea ukiwa unani quote

Kabla hujaanza kuandika huwa kuna alama ya kalamu, ibonyeze halafu utaanza kuingiza maneno kwenye post yangu.
Sawa

Si mpaka ukosee Jirani
 
Back
Top Bottom