Mwifwa
JF-Expert Member
- Apr 3, 2017
- 48,474
- 125,866
Nakusalimu jirani[emoji137] [emoji137]Eeeeh
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nakusalimu jirani[emoji137] [emoji137]Eeeeh
Utakuwa poa tu JiraniNimeshakunywa Kilimanjaro 1.5L, nakaribia kulimaliza!
Za kuamshwa JiraniNakusalimu jirani[emoji137] [emoji137]
PamojaSawa
Huku mange yupo??Za kuamshwa Jirani
HayupooooHuku mange yupo??
Naanzia hapa hapa ....Hayupoooo
Soma kwa kurudi nyuma
Utakuwa poa tu Jirani
Mungu azidi kukupa nguvu zaidi
Salama jirani.Za kuamshwa Jirani
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15]Huku mange yupo??
AiseeNaanzia hapa hapa ....
Ndo ulisema huku ndo ndo kuna mchepuko wako??
Sijaelewa JiraniSalama jirani.
Jirani niliposahau hiyo herufi unaweza kuniwekea wakati unaniquote, jamani keyboard haina mfupa[emoji134]
HahaNaanzia hapa hapa ....
Ndo ulisema huku ndo ndo kuna mchepuko wako??
Yuko wapiii sasaHaha
Hapana
Umeona nilivyoingiza hilo neno.Sijaelewa Jirani
Wapi?
AmelalaYuko wapiii sasa
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]Amelala
SawaUmeona nilivyoingiza hilo neno.
Sasa na wewe unaweza kufanya hivyo kurekebisha post niliyoikosea ukiwa unani quote
Kabla hujaanza kuandika huwa kuna alama ya kalamu, ibonyeze halafu utaanza kuingiza maneno kwenye post yangu.
SawaSawa
Si mpaka ukosee Jirani
SawaSawa
Kuna post nyuma namba 4384 nilikosea irekebishe basi jirani ulipoiquote