Stress Free Zone

Utakuwa unaijua sana geography!
Hilo wala halina shaka brother, kwenye mtihani wa maarifa ya jamii nilishika namba moja kitaifa mtihani wa darasa la saba,ile nimefika secondary nilikuwa napiga A tu kwenye mitihani yote ya geography.... watu wakaanza kusema walimu waninipendelea nikaona isiwe tabu nilivyoingia form three nikaamua mua kuchagua combination ya HKL hizo nazo nikiwa napiga mabanda tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…