Sakayo
JF-Expert Member
- Sep 10, 2015
- 56,368
- 161,448
Seriously ShunieMmh ujue na me unanifanya nileft
Natamani utulivu wa akili... Usijesema sijakuaga
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Seriously ShunieMmh ujue na me unanifanya nileft
OkayYote yanawezekana
HahahaMmh babe sio mambo ya Ben10 kama anavyosema sakayo
Ila jamaa unajua kuchagua...[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] aisee
Jirani wala hajaliEbu mbembeleze jirani yako hivi huoni anataka kuleft jf
Utulivu wa akili kuna nini kina kusibu ujue week ile ya xmass ni bday yanguSeriously Shunie
Natamani utulivu wa akili... Usijesema sijakuaga
Nauliza tu Dada nijueHahaha
Anajua kuchagua nini tenaIla jamaa unajua kuchagua...
Namuona halaf mwisho wa siku aje kuniulizaJirani wala hajali
Alinieleza mapema leo baada ya Jumuiya.... Nimempa baraka zote.Ebu mbembeleze jirani yako hivi huoni anataka kuleft jf
JaaaamaaaniUtulivu wa akili kuna nini kina kusibu ujue week ile ya xmass ni bday yangu
Hilo wala halina shaka brother, kwenye mtihani wa maarifa ya jamii nilishika namba moja kitaifa mtihani wa darasa la saba,ile nimefika secondary nilikuwa napiga A tu kwenye mitihani yote ya geography.... watu wakaanza kusema walimu waninipendelea nikaona isiwe tabu nilivyoingia form three nikaamua mua kuchagua combination ya HKL hizo nazo nikiwa napiga mabanda tu.Utakuwa unaijua sana geography!
Huyo sio Ben ten .... Huoni analalaga mapeeemaNauliza tu Dada nijue
UsimjibuNamuona halaf mwisho wa siku aje kuniuliza
Sawa bana. Ushauri tu, kuanzia leo utafute kijiwe kingine cha kula Mapupu na bandama!Ahahha na hayo pia
Oooh kumbeeeAlinieleza mapema leo baada ya Jumuiya.... Nimempa baraka zote.
[emoji8] [emoji8] [emoji8] yani hapo ndipo unaponimalizaTena nitaongeza zaidi babe
Jaman nilijua utaniambia na kuja utakujaJaaaamaaani
Nitakuja kukuwish my babe
Sakayo wivu unamsumbua tu.Mmh babe sio mambo ya Ben10 kama anavyosema sakayo
Ahahha halaf mida yake sa 4 hivi au 4 kasoro nakumbuka ule msemo wako mwanzo ulikua unamuona mzee wa busaraHuyo sio Ben ten .... Huoni analalaga mapeeema